Recent content by MONRACE

  1. MONRACE

    Wanawake wenye vitambi

    Sababu hawana space kwenye mioyo yao ya kuhifadhi makasiriko so wanapasuka tu papo hapo Msinihukumu jamani sina kitambi[emoji23]
  2. MONRACE

    Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

    As long as sijawahi kuskia scandal ya kingono au kimahusiano nje ya ndoa yake kuhusu Hayati Mh. Lowassa basi he got a super clean sheet from my side[emoji8] maana huo ndo upumbavu namba moja wa Wanaume wengi wa karne hii except my father of course and my husbae[emoji847]
  3. MONRACE

    Paul Makonda awajibu wanaosema anafanya majukumu yasiyo yake, asema fanya yako nami nafanya yangu

    Huko kwenu waliokufa wote ni watenda dhambi!?.. #mimisiosisiemwalasinachama
  4. MONRACE

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Peer pressure..tulia tuliza ki moyo hicho...ukiwa mkubwa mkubwa utabadili mawazo
  5. MONRACE

    Hivi wanawake shida ni nini lakini?

    Lakini kwa nn usimwambie yeye mwenyewe! ajue kabisa anachofanya sio kizuri sijui kama yuko humu JF...vaa bomu Mfuate mkalishe chini mwambie A to Z ulikopata taarifa usifiche mwambie aache na umuombe sana MUNGU kusema huku hajutasaidia kitu... By the way matako anachukuaje? Niambie basssi
  6. MONRACE

    Hivi wanawake shida ni nini lakini?

    Wait!!!..hayo mattercore anachukuaje surely?
  7. MONRACE

    Kabla ya kuoa fanya mapping ya familia yako na unayoenda kuoa

    Tuchaguliwe wachumba na wazee wetu mazonge yaishe.
  8. MONRACE

    Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

    Mwenye masculine energy ya kutosha[emoji3059]...yaani yule ambaye atanituliza nyumbani anitoe kwenye stress za kushindana na wanaume kazini na kwenye biashara...aniweke ndani nimtunzie nyumba yake nimzalie vitoto vyake nimpikie chakula kizuri asubuhi mchana na jioni kila siku nimpokee akitoka...
  9. MONRACE

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Story za Iddi makengo hizi[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. MONRACE

    Mwanaume kuzama chumvini kumridhisha mwanamke ni dalili za ukichaa

    Mwanaume mkubwaa amekaa huko akakosa cha kuongea akaamua kuja kuongea pumba kuhusu tupu za mwanamke..hii sehemu inabidi iheshimiwe inaleta maisha duniani.. inawatuliza wanaume marijali stress na kuwazalishia dopamine hormone ya furaha...inafanya ndoa zinakuwa na umoja...such a powerful...
  11. MONRACE

    Natafuta chumba cha kupanga

    Hellow wana JF... dada yenu nimekuja kwenu ndugu zangu... natafuta chumba chenye choo ndani (self contained) urgently Maeneo iwe Kigamboni yoote.. ikiwa barabara ya Kisiwani au mji mwema mpaka Ferry itapendeza saana, karibu na barabara muhimu kuwe na maji+ umeme na kiwe kwenye hali nzuri. Pesa...
  12. MONRACE

    Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

    Nani kaumiza huyu tena??...[emoji2356][emoji2356] whaa ladies
  13. MONRACE

    Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?

    Bro acha ushamba na u-heal sasa ndo nn hiyo serious mwanaume mkubwa unajisifia hivo...kwa kweli huyo mwanamke deserves better kabisaa
  14. MONRACE

    Sababu ya kwanini kupigwa teke kwenye korodani inauma zaidi ya kuzaa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  15. MONRACE

    Kwanini wanafunzi wengi wenye uwezo mkubwa darasani huwa watundu na wasumbufu?

    Akili zao zina uwezo mkubwa na kama unataka kuwakeep busy kuwatuliza wape vitu vigumu saanaaa...maana hivi vya kawaida wanavimaliza mapema wanavielewa wanashindwa kutumia akili zao zote hence wanaboeka ndo maana wanakuwa watukutu
Back
Top Bottom