Kuna watu ambao siku ya mwisho wakati Mungu akihukumu watu wake,wao wanaweza kuwa kuni za kuchochea wenzao kule jehanam kwa sababu ya unafiki wao hapa Duniani.Mfano ni Mzee mwenyewe.
(Sihukumu)
Wanabodi salaam!!
Kutokana na hili wimbi la madiwani kuhamahama,nimefikiria hasa juu ya mishahara/posho zao kwa sasa ikiwa zinachangia.
Naomba anaefahamu malipo ya Madiwani katika awamu ya nne na malipo yao kwa sasa ndani ya awamu ya tano.
Asanteni.
Ray C Atoa Kali Ya Mwaka.....Amuomba Rais Magufuli Awabane Wanaume Wanaowachezea Bila Kuwaoa.
Msanii Ray C amefunguka na kumuomba Rais Magufuli asaidie kupatikana sheria ambayo itaweza kusaidia wanawake na mabinti wa Tanzania kuolewa kwa haraka kwani anadai bila wanaume kulazimishwa...
Mbona wakati wa kusifia huwa hamuandiki makala hizi?
Pengo anaposifia Magu sizioni hizi mnazoita "nyuzi" lakini akikosolewa utawaona "wachambuzi uchwara" kutoka Lumumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.