Umemaliza kila kitu,mimi ni mhanji karibu na wamkinga kabila dogo sana huwa tunasema ni wakinga pia, Sina pesa sababu Sina mambo ya kando ila najua kwa nguvu zangu na Mungu wangu ipo siku nitatoboa pia,mambo yanaenda yanabadilika wengine wazazi wetu walikataa pesa za hivyo hivyo hatukurithishwa...
Umenikumbusha mbali 2016-2018 sana kabla ya yeye kupanga pale kulikuwa na Eaters Point best Pizza 🍕 ila ndo walifunga ndo akapanga yeye,alikuwa anakuja pale kama mteja ila mbwembwe kibao
Fundi wengi ni janja janja sana fundi alitafutwa wa mkoa mwingine ili kusiwe na mambo ya kufiwa/mtoto anaumwa/kuna msiba na blabla za uongo kumbe yupo site nyingine,kwenye mahesabu ya kupaua aliingeza Bati 22 na kumpa jirani ambae ndo tulikuwa tunamtumia kuweka vitu vyetu na tulimuamini jirani...
Kwa kweli inakera sana ila nadhan sababu ni kuogopa kuibiwa wengi wa vijana wanaowekwa madukani ni kutoka njee ya mji hivyo janja janja wakija ni rahisi kuibiwa kuna mteja wangu wa mayai aliibiwa 1.46ml dukani aliweka kijana na elimu ya hapa na pale alishampa,
Shame on you,kwani zaman hamna walio kuwa wanajiuza?kama una mtoto wa kike akifika Miaka 12 muozeshe fasta kama huna subiri ukipata ndo upange ndoa yake,Wacha wengine tujitoe ufahamu kwa kuendelea kulea watoto wetu hata kama ataruka ukuta mara elfu.
Usijaribu kwenye magari ya chini ni shida sana japo faida ni nyingi kuliko hasara lakn mimi niliuza langu la gesi sababu system ya umeme ilikuwa inasumbua sana halafu kupanda mlima na nguvu ya gari ilishuka ,buti space yote Ilijaa mtungi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.