ukweli kuhusu Monduli katika harakati za ukombozi kwa habari nilizonazo ni kuwa Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Monduli Twalib Mbasha ametangaza kuwa CCM imeshinda kwa asilimia 100 napenda kutoa taarifa ya kuwa taarifa hizo ni za uongo na mpaka sasa CHADEMA wilaya ya Monduli chini ya...
Utumiaji wa pombe kupitia vitabu vyetu vitakatifu unakatazwa ila wale walojichagulia kunywa tu pombe na kuziuza hakuna mtu wa kumlimit by the way,mtoa uzi ametupa somo kuhusu gongo ni kwa nini mpaka inapelekea watu kupofuka macho,hvyo tusibishe vitu venye fact,katoa mchanganuo mzuri kabisa ila...
Nami nfunguke kuhusu Monduli yetu yaliyoelezwa na bw Nicko mengine yamenshangaza wakazi wa Monduli ni kwel wana adha mbalmbal na wenye adha kubwa zaidi ni wale waishio nje ya centre of monduli kama vile gelai,engaruka,esilalei,mmswakini na maeneo mengine yaliyo na umbali kutoka Monduli mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.