Recent content by MONA WA KYEN

  1. MONA WA KYEN

    Nataka nifunge camera chumbani kwa kijana wangu! Nina wasiwasi anafanya vitu visivyofaa

    Awe kwenye fulish age awe anafanya vitu vya ovyo basi fanya hivi nk ushauri wangu 1. Tumia njia ya kumuombea maana katika age kama hiyo shetani anatumia mwanya wa kumshambulia kwa mambo mengi. 2. Wakati unamuombea uwe unazungumza naye sana mfanye rafiki usilazimishe haraka haraka hapana...
  2. MONA WA KYEN

    Klabu ya Young Africans imemtambulisha rasmi kiungo wa kimataifa wa Guinea, Mussa Bala Conte

    Huyu balla bado hatujamuona uwanjani tumeuziwa tuu clips za youtube sisi mashabiki mimi sijamuelewa kama ndo anafit moja kwa moja au ndo wa kumpa muda huku tukipoteza point? Aucho asipocheza huwa tunapata sana shida, aongezewe mmoja aucho tukimsoma huyu bala conte
  3. MONA WA KYEN

    DOKEZO Hatari sana: Utapeli unaoenea kwenye biashara ya forex Tanzania

    Hebu nielezee kidogo kuhusu future binance please
  4. MONA WA KYEN

    𝗖𝗵𝗶𝗻𝗮 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗻𝗱𝘂𝗮 𝗠𝗯𝗮𝗹𝗮𝗠𝘄𝗲𝘇𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟳

    Aisee sawa watu wanaoweza kufikiri na kuleta suluhisho la matatizo ije tu tuone itakavyofanya kazi. Wahandisi wa Kitanzania tuna nini sie cha kuondoa matatizo kwetu?
  5. MONA WA KYEN

    Klabu ya Young Africans imemtambulisha rasmi kiungo wa kimataifa wa Guinea, Mussa Bala Conte

    Mimi binafsi mwananchi ila sasa nashauri Aucho asiondoke huyu bado simwelewi angekuwa sawa hao waarabu wasingemuachia kumtoa mtu aliyefiti kwenye mfumo na kumuingiza mtu anayejitafuta kuingia kwenye mfumo ni kamari mbaya kwa kweli
  6. MONA WA KYEN

    Gharama ya kusafirisha mzigo kwa ndege

    Wakuu habari natumai wazima wa afya. Ningependa kuuliza hivi gharama ya kusafirisha mzigo kwa ndege kutoka nje ya nchi huwa ni kiasi gani? Asia, Marekani nk Asateni. Natanguliza shukrani.
  7. MONA WA KYEN

    Naomba kujuzwa kuhusu uchomaji wa kuku

    Wakuu habari natumaini wazima Ninapenda kuuliza kwa wale wachomaji wa kuku au ambao wana maarifa kidogo kuhusu uchomaji wa kuu. 1. Ili kuchoma nyama ya kuku iwe tamu inatakiwa kuchomwaje? 2.Kuna utofauti wowote wa kuchoma kuku hawa wa broiler na kienyeji? 3. Maandalizi kutoka kumchinja kuku...
  8. MONA WA KYEN

    Uagizaji magari used Be foward

    nashukuru sana mkuu nimekupata
  9. MONA WA KYEN

    Uagizaji magari used Be foward

    Nahukuru kwa majibu mazuri mkuu, 2.. ukiwasiliana na watu wa clearing and forwarding wanaweza wakakufanyia full estimates za total cost japo pia kwenye website ya TRA kuna calculator ya kupiga hesabu ya kodi japo baadhi ya gharama za bandarin hazijaainishwa ila inaweza kukupa mwongozo Hivi...
  10. MONA WA KYEN

    Uagizaji magari used Be foward

    Wakuu habari ningependa kufahamu uzoefu kidogo juu ya uagizaji magari used kWA kutumia mtandao wa be foward. 1. Huwa uinachukua mda gani toka ulipoagiza gari na mpaka unalipata? 2. Unaweza kujua mpaka kodi ya TRA+ gharama za TPA kabla ya kuwalipa pesa ya gari mtandaoni? 3. Kuna usumbufu gani...
  11. MONA WA KYEN

    Biashara ya Mpunga Dodoma

    shukrani mkuu wa ushauri
  12. MONA WA KYEN

    Biashara ya Mpunga Dodoma

    Asante sana mkuu vipi mpunga gunia unakuwaga na kilo ngapi na huwa unatoa mchele kilo ngapi? na gharama ya usafiri huwa sh ngapi?
  13. MONA WA KYEN

    Biashara ya Mpunga Dodoma

    Wakuu habari napenda kuuliza anaefahamu kuhusu biashara ya kukoboa na kuuza mpunga maeneo ya Dodoma mjini na hata pembezoni mwa jiji. Ningependa kufahamu 1. Upatikanaji wa mpunga kwa bei rahisi na mzuri huwa hasa maeneo gani? 2. usafirishaji wake ukoje na garama yake ina range kiasi gani? 3...
  14. MONA WA KYEN

    KKKT Mna tamaa sana na hela , ona waliyoyafanya na Mzee Mengi

    hahaah umegusa penyewe hebu angalia ukiwa una hela hata kama una vyanzo visivyoeleweka watakupa hata uzee wa kanisa ilimradi tuu kuna kitu wanataka sio kaskazini tuu karibia sharika nyingi za kwetu za KKKT hata kama huko kichwani hakuna kitu kuna sodastick kabisa pumba lakini maadam una shekeli...
Back
Top Bottom