Umejitahidi mno kufunguka na umetufungua vile vinavyotakiwa lakini niwajuavyo mimi "Chama Cha Mapinduzi- Ccm namba one".
Ulichokiongea ni ideal kufanyika nchini Tanzania nao watakuja na kauli yao " No makaratasi, no elekisheni" Wale watu nguvu yao kubwa ya ushindi ni wizi wa kura basi hawana...
Nafikiri utakuwa umepoteza funguo nenda duka la dawa wakakupatie Metronidazole 400mg ndugu yangu Metronidazole 400mg usije ukachafua hali ya hewa.
1) Kaskazini wanazo kanuni na misimamo thabiti ambayo ina msaada mkubwa moja wapo ni kuwapa nafasi wazawa hivyo hata kanuni zao zinavutaka kusajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.