Tarehe 23 nitakuwepo UbungoRatiba MIKUTANO YA HADHARA DAR ES SALAAM.
23/04/2025
1. MBAGALA
2. UBUNGO
#tuombeane_uzima
Tarehe 23 nitakuwepo UbungoRatiba MIKUTANO YA HADHARA DAR ES SALAAM.
23/04/2025
1. MBAGALA
2. UBUNGO
Jo naona hujapona fresh ungeendelea tu kubaki sober houseKanda ya Pwani kuna mbio za Mwenge wa Uhuru
Kweli mkuu pwani wanakula sana miguu ya kuku ,na utumbo na juice ya matikitikiTaarifa ndio kama mlivyosikia, kwamba ule moto wenye Neema wa No Reforms No Election sasa unaingia Kanda ya Pwani.
Mungu hakuumba watu wa Dar ili wale Mihogo, utumbo na Miguu ya kuku, Hiyo ni kazi ya Shetani, kuchagua chawa badala ya wananchi si kazi ya Mungu
Shukrani sanaRatiba MIKUTANO YA HADHARA DAR ES SALAAM.
16/04/2025 KIBAMBA
SEGEREA
17/04/2025-
1. TEMEKE
2. KINONDONI
19/04/2025-
1. UKONGA
2. KAWE.
22/04/2025-
1. KIGAMBONI
2. ILALA
23/04/2025
1. MBAGALA
2. UBUNGO
Huo ni umasikini, hakuna lishe bora ya namna hiyoKweli mkuu pwani wanakula sana miguu ya kuku ,na utumbo na juice ya matikitiki
Polisi watatoa vibali kweli ?.Ratiba MIKUTANO YA HADHARA DAR ES SALAAM.
16/04/2025 KIBAMBA
SEGEREA
17/04/2025-
1. TEMEKE
2. KINONDONI
19/04/2025-
1. UKONGA
2. KAWE.
22/04/2025-
1. KIGAMBONI
2. ILALA
23/04/2025
1. MBAGALA
2. UBUNGO
Wewe si ulitupaga matunguri? Kumbe bado unaenda?Tunaisubiriiii... Wiki hii Kilingeni siendiii
Muhimbili haihudumii wenye matatizo ya akili? Kama huduma hiyo haipo hapo Dar, wahi Dodoma.Nashauri Mnyika aitishe kikao cha kamati kuu, tumruishe Mwenyekiti Mbowe
Polisi hawana mamlaka ya kutoa vibali, bali wanapewa taarifa.Polisi watatoa vibali kweli ?.
Dar es Salaam na Pwani inaenda kuchemka na kuwa moto wa kukiunguza chama dola kongwe tawala.
Masantula "Mtoto wa mjini"
Dar es Salaam yachemka kama bahari - Wazee waliimba kutabiri 2025. Hii yote Ni No Reforms tucheze wote No Election ...
Masantula " Mtoto wa Mjini, hii Ngoma No Reforms No Election Dar Yachemka kama bahari .."
View: https://m.youtube.com/watch?v=gwlhjvzJamE
Sidhani kuwa Mbowe mwenyewe atakubari kupokea aibu hiyo. Hata sijui ataanzia wapi kudai kuiongoza tena CHADEMA; ambayo haitakuwa na tofauti yoyote na CUF ya Lipumba au NCCR na takataka nyinginezo zinazojitangaza kuwa vyama vya siasa, siyo vyama vya upinzani.Nashauri Mnyika aitishe kikao cha kamati kuu, tumruishe Mwenyekiti Mbowe
unaisubir kufanyaje mkuu?Tunaisubiriiii... Wiki hii Kilingeni siendiii
SwadaktaPolisi hawana mamlaka ya kutoa vibali, bali wanapewa taarifa.
Ni lini hawa CCM na vibaka wenzao watajuwa kuwa CHADEMA siyo mtu/kiongozi mmoja tena?Taarifa ndio kama mlivyosikia, kwamba ule moto wenye Neema wa No Reforms No Election sasa unaingia Kanda ya Pwani.
Mungu hakuumba watu wa Dar ili wale Mihogo, utumbo na Miguu ya kuku, Hiyo ni kazi ya Shetani, kuchagua chawa badala ya wananchi si kazi ya Mungu
Siku tukiwang'oa madarakani ndio wataelewa kuwa Wasira aliwapiga fixNi lini hawa CCM na vibaka wenzao watajuwa kuwa CHADEMA siyo mtu/kiongozi mmoja tena?
Ukimwondoa mmoja, wengine wanaendeleza kazi ileile, tena kwa moto zaidi.
Wasijali tuko tayari tumpamdishe Heche awe mwenyekiti na Lema awe makamu na si kumrudisha huyo mumtakaeNdiyo plani yenu kumfungulia Lissu kesi ya uhaini ili mumrudishe mtu wenu,imekula kwenu.
Kamanda muliro hajaiona?Imekaa njema sana