Si utamaduni wetu, lakini pengine ni nafasi ya kujitathmini mienendo yetu tunavyoishi katika jamii zetu. We must have gone wrong somewhere,lets take it as a caution.
Hujaelewa au hujasoma vizuri mada, kitendo chake cha kukaa kimya kwenye tukio kubwa kama lile inaleta ukakasi mkubwa. Na mleta mada amesema hapo mwanzo amiri jeshi mkuu ni mfariji kwa wanainchi wake. Tulitegemea statement yake ya faraja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.