Recent content by molwe

  1. molwe

    Nina miaka 24 ila mchumba wangu anataka nimsomeshe. Nifanyeje?

    Weweee!!! Nakuitaa... Mchumba hasomeshwiii...utayakumbuka maneno haya ukiwa na majuto makalii
  2. molwe

    KERO Hizi kambi za Wanafunzi wa madarasa ya Mitihani zimekuwa kero kwa Wazazi na Walezi

    Makambi kama yameratibiwa vizuri si shida, kama Yana manufaa Kwa watoto. Cha kuzingatia.. ni Nani anaeishi na watoto humo kwenye makambi ili kuwa na uhakika WA usalama wao, je kuna maandalizi thabiti ya kukabiliana na majanga kama moto yakitokea.. Kwa kuwa maeneo mengi ya makambi sio maalum Kwa...
  3. molwe

    Tafiti zinaonesha Wanawake wanaoomba msamaha waume zao huwa wanadumu ktk ndoa

    Jamanii Hivi humu mada ni kujadili wanawake tuu? Hembu tujadili mada za maendeleo ili miaka kadhaa ijayo tuhame kwenye hili kundi la kuitwa nchi zinazoendelea!!
  4. molwe

    Kilimo cha mpunga Morogoro

    Dumila Morogoro
  5. molwe

    Jamani nakutana na changamoto na kabila la Waha maofisini

    Hao sio tuu maofisini, hata makanisani wapo ni majungu kwenda mbele😂😂😂😂 Wazoee tuu, ukiona wamezidi wape makavu songa mbele!
  6. molwe

    Watoto waliolelewa na single ni wabishi na wanatudharau sisi baba zao wa kambo.

    Na watoto waliolelewa single Baba pia wabaya zaidi na wake za Baba zao hawakai!! Tuwe tuna balance mambo!!! Tusiwe watu wa mfumo Dume!!
  7. molwe

    Hatari ya Kundi Kubwa la Vijana wanaolala Barabarani Sam Nujoma/Sinza Waangaliwe

    Hili ni bomu!! Hao watageuka kuwa wanakaba watu na wezi! Tunaomba wakamatwe wote! Sio sawa watu kulala mabarabarani
  8. molwe

    Hii kitu imeniuma sana, nimebeba mifuko 70 ya Cement nimelipwa 1500

    Njoo tupige kazi shambani msomi wangu
  9. molwe

    Mwanamke kama havai shanga siwezi kuwa na mahusiano nae, kabla ya yote nauliza kuhusu Shanga kama anazo

    Haaaahaaa!! Uwe unawanunuliaaa🤣🤣🤣🤣 Nyie ndio mnataka wanawake waliopendeza na hamjui nani kampa hiyo Hela ya kusuka Wala nguoo!!!
  10. molwe

    Mtu kama huyu mnamsaidiaje?

    Huko vyuoni wanakaririshwa tuu, ili wajibu mitihani wafauru! Hawafundishwi uhalisia wa maisha na jinsi ya kutumia elimu ya kwenye makaratasi iwe practical. Mwambie tuu ukweli wa maisha achangamke!!
  11. molwe

    Sasa hivi kuna pesa kama takataka, tangu tupate uhuru hakuna kipindi watu wanaogolea kwenye pesa kama sasa kipindi cha Samia

    Hizo pesa ziko kwa hao hao wanaozishikilia! kina ss huku chini hali ni mbaya kuliko jana! Sisi wakulima mazao yanaozea ndani!!:oops::oops::oops: Pembejeo za kilimo bei juu! Tunaomba mfungue masoko na sisi tufaidi hiyo keki! "Kuwa tajiri kati ya masikini wengi ni dhambi kubwa!"
  12. molwe

    Niulize chochote kuhusu uchimbaji wa Visima

    Anaejua wachimbaji wanaopina kienyeji mm ndio nawahitaji!! Ni wa uhakika zaidi
  13. molwe

    Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

    Khaaaa!! Hao wake zenu wanaliwa na Wanawake wenzao au??
  14. molwe

    Nimepata msiba wa mwanangu wa pili, ana miaka 2

    Pole sana Mdau! Mungu awafariji wapendwa! Mliopo Morogoro mshiriki jamani.
  15. molwe

    Msaada wakuu kuhusu utaratibu wa kupata cheti cha ndoa Rita

    Mhhh!! Kumbe mambo mengi siyajui!! Kuna cheti Cha ndoa RITA? Mm nilijua cheti Cha ndoa kinapatikana ulipofungia ndoa!! Ngoja tujifunze.
Back
Top Bottom