Makambi kama yameratibiwa vizuri si shida, kama Yana manufaa Kwa watoto. Cha kuzingatia.. ni Nani anaeishi na watoto humo kwenye makambi ili kuwa na uhakika WA usalama wao, je kuna maandalizi thabiti ya kukabiliana na majanga kama moto yakitokea.. Kwa kuwa maeneo mengi ya makambi sio maalum Kwa...
Jamanii Hivi humu mada ni kujadili wanawake tuu? Hembu tujadili mada za maendeleo ili miaka kadhaa ijayo tuhame kwenye hili kundi la kuitwa nchi zinazoendelea!!
Huko vyuoni wanakaririshwa tuu, ili wajibu mitihani wafauru! Hawafundishwi uhalisia wa maisha na jinsi ya kutumia elimu ya kwenye makaratasi iwe practical. Mwambie tuu ukweli wa maisha achangamke!!
Hizo pesa ziko kwa hao hao wanaozishikilia! kina ss huku chini hali ni mbaya kuliko jana! Sisi wakulima mazao yanaozea ndani!!:oops::oops::oops: Pembejeo za kilimo bei juu! Tunaomba mfungue masoko na sisi tufaidi hiyo keki! "Kuwa tajiri kati ya masikini wengi ni dhambi kubwa!"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.