Recent content by mollelian masai

  1. M

    Nina matatizo au ana matatizo? Sielewi

    pole ongea nae ;labda hajajua umuhimu wa mawasiliano yenu wawili
  2. M

    Zijue aina nne (4) za michepuko

    naipenda jf ;raha tupu
  3. M

    Msaada wa haraka mtoto amevimbiwa sana

    kwanza mpeleke hospitali;asilishwe mpaka ashibe sana awe na kipimo;changanya papai na chungwa ale ;au maji ya uvuguvugu;inategemea umri wa mtoto;ukiweza pata alovera plus ya gnld inafaaa
  4. M

    Msaada natokwa sana jasho kwapani

    pole sana;tumia maji ya limao kujioshea kwa siku tatu au wiki moja hii ni kiboko ya deodorant;pia zingatia usafi ;usisahau kurudisha majibu hapa jf;
  5. M

    Wenye ndoa zilizovunjika tupeane uzoefu tafadhali

    pole ila naamini kuna sababu iliyopelekea hayo yote itafute ;jichunguze;badiika kama mwanzo;mthamin;muheshimu;zuia anapoonewa na ndugu zako;;mfanye ajione bora kwako ;fuata na ushauri wawanajf wamekushauri vzr sana ;lazima kuna ulichokosea ;LAZIMA TAFUTA
  6. M

    Tathimini: Majimbo na kata zinazoongozwa na CHADEMA wamepata maendeleo gani?

    uku kwetu mianzini arusha ni kata ya kaloleni;barabara haipitki na mvua zimeanza;diwani niwa chadema.tangu achaguliwe atujawahi kumuona
  7. M

    Mwigulu Nchemba ndani ya Emmanuel Tv kwa TB Joshua

    Mi nampongeza kwa kuwa amejua uwezo wa mungu muumbaji wa mbingu na nchi
  8. M

    Mwigulu Nchemba ndani ya Emmanuel Tv kwa TB Joshua

    Dhambi zote zitasamehewa ,isipokuwa ya kumkufuru roho mtakatifu.
  9. M

    Wana MMU wa Arusha tuandae party yetu

    jamani wana Ar nami nasubiri kuwafahamu jf wenzangu;
  10. M

    Tango transport

    jamani utajiri wa kuleee?huwa si wa kudumu kama hautafilisika baada ya muda basi ukifa tu unapotea ,sio yeye mwenyewe wako wengi tu ,kina marehemu titus,mama shida, kakunda, hawa walikuwa matajiri wa mawe enzi za utajiri wa huyu tango,huyu titus alikuwa anataka mpaka kununua ndege enzi za...
  11. M

    Mume hanifikishi kisawasawa

    Pole mdada ,nimeona ushauri umepewa mzuri sana ,ufanyie kazi hasa kujichunguza wewe,pili unatakiwa ujue miaka hii wanaume wengi wanashida ya nguvu za kiume,awe ameoa au la;inawezekana nae mwili wake umebadilika kama wako;ila jiridhishe na utafiti wako,futa uamuzi wako.
  12. M

    Muziki wa Injili Tanzania Wafunika Muziki wa Bongo Fleva Katika Soko.

    Mfalme daudi alimwimbia mungu akacheza mpaka nguo zikadondoka chini ,nauliza alikuwa amesimama.au mlishawahi kuwaona waimbaji wa injili wa congo.mi nadhani kikubwa ni dhamira ya moyo ndo muhimu,umedhamiria unamwimbia nani?kikubwa ni uwepo wa nguvu ya mungu kwenye nyimbo,kuna nyimbo zikiimbwa...
  13. M

    Mods inatosha wanaume kujiunga jukwaa hili, sasa tunataka wanawake wawe wengi. Samahaan lakin!!

    pia mimi napenda kusoma kama mada niyakikubwa huwa nachangia;lkn utakuta mara kuna bamia na cylinder;wengine atuvijui;cwez changia;
Back
Top Bottom