jamani utajiri wa kuleee?huwa si wa kudumu kama hautafilisika baada ya muda basi ukifa tu unapotea ,sio yeye mwenyewe wako wengi tu ,kina marehemu titus,mama shida, kakunda, hawa walikuwa matajiri wa mawe enzi za utajiri wa huyu tango,huyu titus alikuwa anataka mpaka kununua ndege enzi za...