Kaa kwa kutulia ndugu kwanza kabisa bangala sio size yetu kabisa simba labda aucho na kuhusu chama hata chama mwenyewe alishaweka wazi bado yupo morocco sana,, cool down guy
Pole sana ndugu, jaribu kuondoa hofu moyoni, sometimes inaleta hiyo Hali,. Jiamini utaweza alafu pia punguza mawazo yanasababisha kutokua na hamu ya kufanya mpenzi, kula vyakula vyenye vitakavyo kupa joto mwilini kama kama chama/supu inapendeza sana kuliko kudanganywa kwenye mitishamba
Dokta najiskia kuchoka mda wote na nikijaribu kulala nashindwa kunakuwa na mshtuko fulani alafu kichwa kinauma mda wote nimeenda kwa hospital wananiamba ni mawazo tu,, je tatizo nn ?
Nina tatizo la kuumwa kichwa kwa upande mmoja nikimeza dawa ya maumivu bado haiponi, na imefikia kiwango ya kwamba ikianza kuuma zaidi naishiwa nguvu hv, pia najiskia kuchoka mda wote na nikijaribu kulala nashindwa kunakuwa na mshtuko fulani nashtuka so nashindwa hata kulala.
Wadau naombeni...
Wadau naombeni kwa mwenye ufahamu ni siku gani ukilala na mwanamke utaweza kumpata mtoto wa kike/kiume? Anifafanulie please.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.