Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Hakika Wema wa Mungu upo siku zote!
Ili kupata dume fanya siku ya 14 ya mzunguko wa mama.
Unajua life span ya hizo chromosomes kweli au unababwaja tu?
Sawa. Nataka nikusaidie kitu kimoja, ni hivi life span ya hizi chromosomes (X&Y) ndiyo inayoamua whether kuna probability ya mtoto wa kiume au wakikeVipi umefufuka leo nini? Imeonekana ulikosa bando muda refu sana. Haya endelea. Hii mada nimekwisha kuchia wewe. Changia zaidi. Sijui ulikuwa wapi wakati huu mjadala unaendelea?
Kweli au unatania dada?