Matangazo ya pombe yanayotangazwa kila mahali kupitia runinga, internet, magazeti, face book, jamii forum, radio, n.k yamekuwa kero kwangu. hii inaonyesha wazi jinsi gani taifa linahamasishwa kuwa walevi. ni ukweli kwamba ulevi unaenda sambamba na vitendo viovu kama vile: uasherati, uzinzi...