Recent content by mokoloko

  1. mokoloko

    Mwenye utaalamu wa zao la korosho tusaidiane

    Kazi nzuri umelimia mpanda sehem gani
  2. mokoloko

    Jambo la Muhimu ukiamua kufuata kilimo

    Bei inategemea na ubora wa bidhaa, ukuwa na mzigo mzuri bei nazo ni super ukifanya ujanja ujanja aaaah Bei nazo ni za ubabaishaji , mbona bakhresa anatengeneza biscuit za sh 50, inamaana yy hakuangalia Bei!?
  3. mokoloko

    Jambo la Muhimu ukiamua kufuata kilimo

    Wewe unabidhaa gani nikutafutie soko
  4. mokoloko

    Jambo la Muhimu ukiamua kufuata kilimo

    Kila biashara inachangamoto sio kilimo tu, inategemea na ww umeingia vp ukiingia kichwa kichwa utaona wanaolima wt ni wa puuzi . Jambo la msingi kabla ujaanza fanya utafuti wa bidhaa unayotaka kulima kuanzia mbegu, usimamizi wa shamba, masoko n.k..., karibu shambani mzee.
  5. mokoloko

    Mrejesho wa demo: Kilimo cha pilipili

    Sawa takucheki
  6. mokoloko

    Mrejesho wa demo: Kilimo cha pilipili

    Kazi nzuri karibu shambani, mie ni mkulima wa pilipili huu ni mwaka wa tatu Sasa Niko mkoa bt ukiwa na tatizo kuhusu pilipili usisite kunitafuta , nakutakia mafanikuo mema.
  7. mokoloko

    Biashara ya Sungura imejaa utapeli wa hali ya juu sana

    Shukrani. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mokoloko

    Biashara ya Sungura imejaa utapeli wa hali ya juu sana

    Unachanganya vip kiongozi, na je unapiga kwenye mimea baada ya muda gani Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mokoloko

    Kilimo cha mahindi mkoa wa Katavi

    Kwa mvua zinazopiga sie tushakula za uso kwani tangu November mwaka kaja hazijapumzika kama unataka kulima mahindi uje ulime ya kuchoma ya kiangazi, kila la kheri. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mokoloko

    Naomba ushauri, nimeamua kufanya kilimo kama ajira

    Kwanza nakupongeza kwa maamuzi uliyofanya ukichukulia kilimo kama Kazi utakiweza then usiingie na matarajio makubwa saaana, kwanza utajifunza I mean changamoto za hapa na pale Ni kawaida kama ilivyo Kazi yeyote, kila la kheri. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mokoloko

    Kilimo cha nyanya wakati wa masika

    Aisee ii mbegu iko vizuri? niliikuta dukani nikaipuuzia
  12. mokoloko

    Msaada ni mara ya pili sasa mbegu za nyanya chungu hazioti

    Uko mkoa gani kiongozi nina mbegu ya nyanya chungu ni balaa hutojutia
  13. mokoloko

    Natafuta Soko la mayai

    Ni biashara kichaa endapo utaingia kwa mihemko na kulima kwa whatsup mimi ni mkulima mdogo nafanya kilimo na maisha yanaenda bila stress
  14. mokoloko

    Msaada tutani

    Kwenu wataalam na wadau wa kilimo huu ni mche wa pilipili hoho nimeujaribu kuchunguza shambani nikaona miche mitano iko zaifu baada ya kuing'oa nikakutana na hali hii je ninaweza kutumia dawa zipi kuutibu, na je tatizo hili linasababishwa na nini?,,.
  15. mokoloko

    Home made vs. Imported Incubators, wazoefu tunaomba ushauri wa kina

    Kama unaweza agiza , ukitaka kupasuka kichwa nunua kwa hao wanaotoa promo humu mara ooh wanatengeza utajuta,. Bongo ni ubabaishaji tu.
Back
Top Bottom