Benitez Hadramu
Member
- Jan 11, 2020
- 13
- 4
Habari wakubwa natumaini wazima nimeleta uzi huu mnisaidie kimawazo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimejaribu kuishi katika mazingira tofauti katika nchi ya Tanzania katika shughuli mbalimbali za kutafuta maisha lakini bado sijapata mafanikio yeyote.
Kwa hiyo nimekaa na kufikiria nikaona bola niweke jambo ili kwa wakazi wa katavi wanishauri kuhusu kilimo cha mahindi uko kikoje maana nataka nipeleke nguvu zangu tena kwenye kilimo cha mahindi. Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe kwa hiyo nataka nikatumie mkono wangu mwenyewe.
Au kilimo gani kinastawi vizuri mkoa wa Katavi na masoko yakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimejaribu kuishi katika mazingira tofauti katika nchi ya Tanzania katika shughuli mbalimbali za kutafuta maisha lakini bado sijapata mafanikio yeyote.
Kwa hiyo nimekaa na kufikiria nikaona bola niweke jambo ili kwa wakazi wa katavi wanishauri kuhusu kilimo cha mahindi uko kikoje maana nataka nipeleke nguvu zangu tena kwenye kilimo cha mahindi. Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe kwa hiyo nataka nikatumie mkono wangu mwenyewe.
Au kilimo gani kinastawi vizuri mkoa wa Katavi na masoko yakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app