kaka we acha tu yaani morogoro mwezi wa nne huu startv haipatikani mwezi wa pili itv na eatv patupu mpaka zimejifuta nimeamua kujisalimisha kwenye dishi yaani staataimuz majangaaaaa
huna akili wewe unatuchanganyia mada rudi kwenu mhamiaji haramu we hujui tofauti kati ya gaidi na mhamiaji haramu kwa taarifa yako hata mwananchi mzawa anaweza kuwa gaidi usitulete utumbo wako hapa tena
anaitwa joan itanisa daah.. yule dada ni mrembo ivyooni hamfikii hata chembe na kama mpaka sasa angekuwepo pale sidhani hata ivyooni kama angehamia mwanza
hata iweje we kwenu utarudi tu et wahamiaji haramu walijenga marekani toka hapa kajenge kwenu rwanda sisi tunaweza wenyewe hatuhitaji uharamu wenu mtuletee sisi mnamkimbia nani kwenu aaagh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.