JamiiForums Tanzania
Shairi
PUNDA.
1 Mzigo ukimzidia, haraka anatembea
tajiri humfaidi, jashole kufurahia
hata akijitahidi, atazidi kuumia
Punda hawezi faidi, jasho lake hasilani
2 Viboko anatandikwa, atembee kwa haraka
umauti akifikwa, mzigo upate fika
walah hawezi zikwa, pumziye kikatika
Punda hawezi faidi, jasho lake...