Mjuni,
Mwigulu Nchemba na wote wa aina yake ni janga la Taifa. Aliyemchagua kufanya hiyo Kazi ya CCM ya kipuuzi ndiye mwenye tatizo. Wanasema watu " Birds of the same feathers fly together" na wengine wakasema kwa kimombo: "Show me your friend and I will tell who you are" this means Kamati Kuu...
Just don't waste your time. Lwakatare is government boy who just joined Chadema and is being used by the intelligence to bring down Chadema. He has been fabricating stories which is no longer classified. It appears mission done and its a security way out.
Chadema next time around be careful...
Fredmlay!
Acha kupotosha watu hapa JF.Ramani uliyoweka ni ya kiwanja cha Mount Meru. Barabara ya " Church road " inaunganisha barabara ya Nairobi -Moshi na ile Old Moshi road. Kama kweli imefungwa I have not been in Arusha recently but nimekulia Arusha hiyo barabara is the only through road...
BHagheshi!
You are absolutely right you can't compare Jakaya Mrisho Kikwete aka Juha Kalulu aka Vasco da Gama with his excellency Robert Gabriel Mugabe the great statesman, pride of Zimbabwe and Africa,It's only myopic and simple minds can do that. Mugabe has sent the Wesrern Big Brothers to...
Mrema yuko sahihi. CCM has changed Tanzania into a failed State just like Somalia and the Congo(DRC) . Kujiuzulu kwa Serikali ya CCM must be immediate. We can't continue and remain as state under CCM. Just look at what is hapening: Hakuna Maji, Hakuna umeme, hakuna Shule, Polisi na jeshi...
Kuunda tume it's almost wendawazimu. CCM imewahi kuunda tume zaidi ya hamsini na matokeo ya hizi tume yameishia kutumia billions but to no avail.
My take eduction has been decaying over forty years. Kuanzia 1970 baada ya kubuni UPE na kuanzisha kufuta Ada ya Shule bila umakini. Instead of a...
JF,
Mie napita tu! Ukipita kwenye barabara kuna bill boards( mabango) makubwa ya CCM yameandikwa " CCM Dhaifu Nchi itayumba" siyo maneno yangu kama sijakosea haya maneno yalitamkwa na Hayati Mwl. Nyerere! I didn't always believe whether watu wa CCM walimwelewa Mwalimu . This is what is taking...
FUSO!
This comment is supersonic! Hongera kwa kuliona hilo! Dar hakuna maji Mnyika anapeleka hoja inazimwa lakini Tibaijuka na Juha Kalulu( Jakaya Kikwete) wako bussy kuanzisha a satellite City in Kigamboni? Tiba aliona kule Kenya wamejenga na kwa kutaka ufahari na Sifa za Kihaya( sorry I don't...
As usual Watanganyika we need a new culture and marshal plan with modern fire fighting system . Hii ya kutumia mobile itakuja kutupeleka pabaya. Kwanza hatuna maji na hao watu wa Magufuri pamoja na tambo zao including CRB , mambo ya ndani hawana ujuzi wa fire tenders na ndio maana wanatoa...
Ni kweli Lubua amechukua muda na kuwasilisha vizuri tatizo anayeandikiwa hana washauri zaidi ya kundi la marafiki .
Watu wa Mtwara wanaweza kuwa na hoja ya msingi. Ila kuzuia Bomba la gesi lisijengwe sio njia sahihi. Kwani ni kuanza hoja kwa kutumia nguvu.
Serikali inawezekana haikutoa elimu...
Kwa nini Serikali ya CCM hakutengeneza sera ya gesi kwa zaidi ya miaka 10 tangu waanze kuchimba gesi kule Songosongo?
Wanajenga Bomba la gesi lakini wataalaam hawahusishwi? Wakati wanajenga Bomba la Songas tuliwaambia waweke Bomba mbili ( double) na pia ukubwa wa kutosha hili halikufanyika...
Wewe R.B!
Acha ujuha matangazo ya kuhamia Digital yamekuwa yakitolewa na TCRA kwa muda usiopingika kisheria almost two years . Wacha kuiga kule Kenya ambako wanayo awareness of course level ya elimu iko juu ya elimu yetu ya Kata wadau walikwenda Mahakamani wakishiitaki mamlaka yao ya...
Kwa kufungua mwaka 2013 nawapongeza JF. Mwaka huu uwe wa vitendo tusijadili watu.
Wahenga walisema " Kiongozi ni taswira ya watu anaowaongoza " sijui kama hii tafsri kutoka Kiingereza ni sahihi" a leader is the mirror image of the people"
Ninaweza kuwa nimekosea ila ninachotaka kuelezea hapa...
Ni Wazo zuri kila manispaa iwe na kituo chake cha Mabasi. Hii kwanza itapunguza ulazima wa kila mtu kuelekea Ubungo.
Kwa sasa vyombo vyote vya Usafiri vinaelekea Ubungo ukiongezea ukweli kwamba Ubungo ndiyo njia ya kutokea Dar es salaam kwenda Mikoani kuanzia mabasi na hata Malori ya Mzigo...
Kila mara nawashangaa Watanzania kwa jinsi walivyo Mazuzu.
Asilimia 90% wana IQ ndogo kuliko ya kuku. Mmesahaulishwa kwamba Ridhiwani kwa kutumia kampuni ya Simon Group aliuziwa UDA na Idd Simba? Ubungo bus terminall ni mali ya iliyokuwa UDA. Mchakato unaosingiziwa na kupiisha mabasi yaendayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.