Tanzania hatuhitaji kiwanda cha silaha utawala bora utakaosimamia rasilimal zetu kwa maslahi ya nchi. Huyu bila shaka alikosa sera za kushawishi watz wampigie kura
Clouds wanafiki wasiojua maadili ya uandishi kwani wana ushabiki wa kipuuzi wakiisifia ccm bila kujali maslahi ya umma nashangaa kvp wanajiita redio ya watu
Clouds wanafiki wasiojua maadili ya uandishi kwani wana ushabiki wa kipuuzi wakiisifia ccm bila kujali maslahi ya umma nashangaa kvp wanajiita redio ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.