Recent content by mojax

  1. mojax

    Msomi Muoga

    ELIMU BIASHARA MSOMI MUOGA Kuna wakati Elimu Yetu inatunyima ubunifu wa kugundua vitu vipya na vingi, Lakini pia kuna wakati hata mazingira tuliyopo tu yanatunyima mwangaza. Pata picha mwalimu wako anayekufundisha Ujasiriamali Chuoni hana hata Biashara moja, nayeye anategemea Ajira hiyo hiyo...
  2. mojax

    Maisha Ni Vile Uyachukuliavyo

    ELIMU BIASHARA Usilinganishe Mapito Yako na Ya mtu mwingine, Changamoto zako na Za Mtu mwingine, kwakua zakwako zilipangwa zikupitie wewe na uweze kuzikabili. Hakuna Changamoto nzito au kubwa utakayopewa ambayo hautaweza kuikabili, Mungu hutupa changamoto kutokana na uwezo wetu wa kuzihandle...
  3. mojax

    Unahisi Hautaweza? Anza na 10,000/= Leo

    ELIMU BIASHARA UNAHISI HAUTAWEZA? ANZA NA ELFU KUMI LEO Kuna watu tunatumia miaka Mingi sana Kulalamika hatuna mitaji, na hatutumii hata nusu ya miaka hiyo kujaribu ku-save ili tupate mitaji ya kuwekeza. Nakumbuka mwaka juzi nikiwa na rafiki zangu ikifika wikiend tukiwa Bar, tulikua tunapiga...
  4. mojax

    Ni changamoto tu, usihisi tuliandaliwa kufeli

    ELIMU BIASHARA NI CHANGAMOTO TU, USIHISI TULIANDALIWA KUFELI? Inawezekana katika maisha yetu tuliyokulia tangu tukiwa watoto tumekuzwa katika Maisha ya kuogopa au kuogopeshwa. Kila ukifanya kitu cha kitofauti unakanywa na kuambiwa ubaya wake badala ya uzuri wake, hata wakati unajenga vyungu...
  5. mojax

    Ujasiriamali ni Uvumilivu, Nimewaona wengi wakipitia Magumu

    ELIMU BIASHARA NIMEWAONA... Kuna utofauti wa kusoma na ukaelewa, na kusomewa na kuelezewa. Walisema "Behind every succesful man there is a woman", wengine wakabisha wakasema aliyetunga alikua mwanamke, wakaja sema "Behind every successful man there is a woman because women dont run behind...
  6. mojax

    Jinsi ya kuua biashara yako

    ELIMU BIASHARA JINSI YA KUUA BIASHARA YAKO Inasemekana kwamba Biashara nane au tisa kati ya biashara mpya ambazo huwa zinaanzishwa huwa zinafeli, yaani zinakufa na zinashindwa kuendelea. Inaaminika kwamba asilimia hamsini (50%) ya biashara mpya zinazokufa huwa zinakufa ndani ya mwaka wa...
  7. mojax

    Nifanye biashara gani?

    Kwanza inabidi ujipime utambue na kuona wewe unapenda nini au u apenda kufanya nini, zen ndo ufanye kile ambacho unapenda au kinashabihiana na unachopenda kwakua utakifanya kwa moyo wako wote.
  8. mojax

    Ni Uwezo wako wa kutambua Fursa

    ELIMU BIASHARA NI UWEZO WAKO Kufanya maamuzi mara nyingi huwa inategemea na nini kipo kichwani kwako na nini unafahamu kuhusu hicho kitu cha kufanyia maamuzi. Uwezo wa kutambua jambo na uwezo wa kutafakari na kulifanyia maamuzi hutofautiana baina ya mtu na mtu na ndio maana tunatofautiana hata...
  9. mojax

    Elimu ya Biashara: Mnafiki na Unafiki

    ELIMU BIASHARA MNAFKI NA UNAFKI Unafki ni ile hali ya nafsi ya mtu fulani katika harakati za kukubali maneno au hali na kutotenda makubaliano ya maneno hayo au kuyatenda kivingine na kuyakanusha maneno na matendo husika. Unafki unaweza kuwa hali ya mtu fulani kutopenda maendeleo ya mwingine au...
  10. mojax

    Mabadiliko ni Wewe

    ELIMU BIASHARA MABADILIKO NI WEWE Sikuzote tusiamini kwamba maisha yetu yatakuja kubadilishwa na mtu, la hasha, Maisha yetu yatabadilishwa na sisi wenyewe, Mabadiliko yanaanzia ndani yako mwenyewe na nafsi yako. Mtu wa nje anaweza akakushauri tu au kukuonyesha njia nzuri ya kubadilika. Na kuna...
  11. mojax

    Ujasiriamali ni Ujenzi

    ELIMU BIASHARA UJASIRIAMALI NI UJENZI Ujasiriamali huwa unaanzia mbali toka kwenye kuzaliwa kwa idea mpaka kuja kusimama. Siku zote ujenzi wa Msingi unaanziaga chini kwenda juu, hata ujasiriamali lazima uanzie chini kwenda juu, na kamwe huwezi anzia juu kuja chini mana huwezi ning'iniza...
  12. mojax

    Tupambane kabla ya miaka 40

    ELIMU BIASHARA MAISHA SI YA BABAAKO Maisha bana raha sana, haswa ukiwa unayaishi vile unataka au unatamani wewe. Japo yana changamoto zake, hatukatai ila unazikabili vipi. Maisha ni yako wewe mwenyewe, si ya Babaako. Pigana jitahidi utafute chakwako, pigana utafute na cha wanao, wakija wakute...
  13. mojax

    Magumu Yasikutishe

    ELIMU BIASHARA MAGUMU YASIKUTISHE Wengi wanaacha kutimiza malengo mara magumu yanapotokea lakini magumu ni kichocheo cha kuinoa akili yako kutenda katika viwango vya juu vya ubora lakini zaidi hukusaidia kuwa imara na usiyetetereka huko katika ufalme wa mafanikio yako. Leo nitakupa mfano wa...
Back
Top Bottom