Recent content by mohoniajoseph1

  1. mohoniajoseph1

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    UJUMBE WA KIJANA WA KITANZANIA KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
  2. mohoniajoseph1

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    UJUMBE WA WAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN. Document hii ina ujumbe wa kijana wa Tanzania kutokea Mkoa wa Mara, aliyetumia siku hizi ya maandalizi ya maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kumwandikia Rais na...
  3. mohoniajoseph1

    Anaandika Mwl. Asiyekuwa na Darasa wala Shule

    Andiko lako nimelielewa sana ndugu, umevaa viatu vya ndugu yetu kwa usahihi. Asante sana ndugu, maana wengine humu wanaandika kama wamekatwa vichwa.
  4. mohoniajoseph1

    Anaandika Mwl. Asiyekuwa na Darasa wala Shule

    NATUMIA SIKU HII YA MAADHIMISHO YA WALIMU, KUZUNGUMZA NA WATANZANIA WENZANGU NA SERIKALI. Usichoke kusoma!! Soma, Soma, Soma ujumbe wangu Mimi Mwalimu nisiye na Darasa la kufundisha, Vyeti vyangu vya Kuhitimu Chuo Kikuu vimekoswa kazi kwenye begi!! Mimi ni Kijana wa Kitanzania, ambaye...
  5. mohoniajoseph1

    Nahitaji mume aliye serious

    Uko wapi?
  6. mohoniajoseph1

    Mchakato wa katiba mpya unakwamishwa na CCM miaka yote

    Katiba ya Mwaka 1977 iliandikwa na wajumbe wa CCM waliokuwa wamepewa jukumu la kuandika Katiba ya CCM baada ya kubadilishwa kutoka TANU. Kwahiyo hakuna mahala popote ambapo Wananchi walishiriki katika kuandika Katiba ya sasa.
  7. mohoniajoseph1

    Mchakato wa katiba mpya unakwamishwa na CCM miaka yote

    Habari wanajukwaa!! Naona kuna vuguvugu (fukuto) la aina yake hapa Nchini la Madai ya KATIBA MPYA likiongozwa zaidi na kundi la Chama cha Siasa (CHADEMA). Mimi pia ni muumini wa kuunga mkono upatikanaji wa KATIBA MPYA na iliyo Bora. Madai ya KATIBA MPYA katika Taifa la Tanzania ni madai ya...
  8. mohoniajoseph1

    Bajeti ya Kenya ni Tsh. Trilioni 78, Tanzania ni Tsh. Trilioni 34 na Uganda Tsh. Trilioni 30

    Umesahau kuonesha kuwa sisi Tanzania wenye bajeti kidogo ndiyo tunaongoza kwa Population ya watu dhidi ya Kenya yenye bajeti kubwa!! Aisee!! Hapa Sayansi inagoma kabisa.
  9. mohoniajoseph1

    Huu ni muda sahihi wa viongozi wetu wa kisiasa kutuongoza kudai Katiba Mpya

    Mchakato wa Katiba Mpya sote tunafahamu ulivyoenda na ulivyoharibiwa na "wahuni" wachache wasiolipenda Taifa letu la Tanzania. Kwa kipindi cha miaka mitano (2015-2020) suala la Katiba Mpya limepuuzwa kabisa na aliyekuwa Rais wa wakti huo. Viongozi wetu wa kisiasa walijaribu kulipenyeza lakini...
  10. mohoniajoseph1

    Kongamano la BAVICHA kuilipua Mwanza, Mnyika kuhutubia

    Usisahau uwepo wa Mhe. John Heche
  11. mohoniajoseph1

    Uchaguzi 2020 John Heche achukua fomu ya kuwania Ubunge Tarime Vijijini

    Leo tarehe 15/08/2020 Mheshimiwa John Heche Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini anaemaliza muda wake, amechukuwa fomu ili kulitetea tena Jimbo hilo. Binafsi naona kama huyu ndiye Mbunge wa Upinzani mwenye nafasi kubwa ya kurudi tena Bungeni kwa jinsi anavyokubalika kwa Wananchi wake.
Back
Top Bottom