Recent content by Mohammed ismail

  1. Mohammed ismail

    Mtu akikuomba ushauri kwa jambo kama hili utamjibu nini?

    Tatizo uyo mwanamke katoa mno mimba sasa anajuwa hatokuja kumzalia mwanaume yoyote kutokana nakizazi kupotea,,,ivyo kwakuwa alishazoea ushetani wakutoa mimba ndomana ushetani bado unamuandama anataka kumtoa nauyo ambae kazaliwa namwanamke mwenzie ambae nitimamu. Kikubwa uyo mwanaume mwenzetu...
  2. Mohammed ismail

    Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

    Unaonekana bado kinda kwenye hii tasnia ,ila2 nikutie moyo jitaidi kuwa unamuonyesha jinsigani unaumia uyo aliekutenda,pia mpe nafasi yakumskiliza pwent zake pindi anakuwa anajalibu ku handle tatizo ili,,pia kwenye bedi usijitengenae jitaidi kuwa kalibunae, usikubali kuongozwa naayo...
  3. Mohammed ismail

    Kuoa wanawake wawili au kuwa na watoto wa mama tofauti kwa dunia ya leo ni kujitafutia matatizo

    Apo nikwamba umetoka kwenye mstari naunaenda enje,,coz kama hutoowa tena kwakisingizio kukwepa watoto wamama tofautitofaut inamaanisha hao michepuko utakuwa unawaambia wachomoe mimba endapo itatokea wamenasa,,sasa utakuwa umeingia kwenye list yawauwaji,,watoto kwamatabaka nimatokeo2
  4. Mohammed ismail

    Hisia za mapenzi zikifa unafanyaje?

    Ingekuwa nimpira tungemualika mwalim kashasha,,sasa mapenzi yasivyo naformula maarum sijui itakuaje labda tutumie 4figer
  5. Mohammed ismail

    Demu wangu kaniacha baada ya kusoma Post zangu JF

    Kumbe hii mambo inawezekana[emoji848][emoji848]?basi Kupitia ww kunaulazima wakuchukuwa tahadhari zaidi yakuvaa balakoa
  6. Mohammed ismail

    Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

    Kwamaono yangu nikwamba,,,nirahisi kumstopisha mke izo mishe endapo ww mwanaume mwenzangu unajiweza kiuchumi,,,yani mambo mengi uwe unayamudu( uwe nampunga wakukizi majukumu kalibia 80%) tofauti nahapo nibusara yamke vs power yamume
  7. Mohammed ismail

    Mwanamke akikukera usimpige wala kumuacha

    Tukio lakupiga huwa linakuja automatical kutokana nayeye mke kujibu uharo(shombo) wakati huo mdume uko siriasi naunamwambia maneno yamsingi kama sio yasecondar
  8. Mohammed ismail

    Ushawahi kukutana na mwanamke wa aina hii?

    Siku atakapotaka naww unyonye yake usisahau kuleta mlejesho kama naww ulitapika ad ukanya au naww ulikunywa juice yamiwa
  9. Mohammed ismail

    Maisha ninayoishi na wazazi wangu yananikatisha tamaa ya kuja kuoa huko mbeleni

    Ndugu maisha yandoa sio kama picha lakihindi kwamba lazima kuwe nasongi,,,bado unanafasi yako binafsi ktk kujenga mifumo yako ambayo haitokuwa kama dingiako namaza....mwisho...usisahau kumshilikisha sir god kwakila hatuwa simaanishi kuwa wazazi wako walikuwa wamemsahau sir god.
  10. Mohammed ismail

    Huyu mdada wa nyumbani huyu. Nashukuru nimeshinda mtihani

    Angalia usije ukacheza kama ule mchezo waliocheza wale jamaa kwenye muvi ile ya (warbus) unashangilia ushindi wakati bado upo kwenye fire zone
  11. Mohammed ismail

    Wanawake punguzeni uongo

    Asa mkuu angekutajia kama buku iv ndoungefurahi, au upo kwenye kuchukuwa takwimu
  12. Mohammed ismail

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natamani niskie wimbo watakaotumia chadema kwenye kampeni,[emoji848]mwenyenao afanye kama anajikuna iv.
  13. Mohammed ismail

    Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

    Daaaaah! Uzi huu umenikumbusha kitambo mno,,,,baada yakupigana na mdume mwenzangu kwakumuona anamfatilia xana manziyangu"""basi tulifumuana kinyama ila mwisho wapicha tukapelekwa kwamjumbe**mjumbe alifanya uwamuzi wakumuita manzi ili aamuwe ile kesi kwaulahisi ili yeye mjumbe asiumize...
Back
Top Bottom