Ninaishi na mwanamke niliyemchagua akilini(wakufikirika) tangu nikiwa sekondari, tabia, pressure yake akikasirika, akifurahi, akilia kwa hisia juu yangu akiwa na raha, akilia kwa hisia against mimi kam nikiwa nimemkosea, hyu ni zaidi ya house wife, anaumwa naogopa kumkosa nioombeeini. sina hakika kama nikimkosa nitapata mtu mwingine kama huyu. nimekula(gonga) malaya zaidi ya 1000 naishi na mtu ambaye nahisi(kwa hisia zangu) hajawahi kugusw na mwanaume wingine.
Nawaasa sana wanaotaka kuoa, au kuolewa ishi na mtu unayemfahamu hisia zake, wale wenye hisia za kuchepuka utajua tu, ila itabidi uwe mwizi mtaalamu wa kuchepuka zaidi yake, akikuzidi hapo ndio tatizo litakapokukuta)
nilipenda sana nipate mwanamke ambaye hata nikiwa america hatamvulia mwanaume mwingine pichu. nilichagua wanawake watato katika pita pita ya miaka 3-4(chuoni na kazini) nikichagua wife material, wa kwanza katika list sikuweza kuishi naye, alikuwa ni malaya, na alikuja kuzaa na wanaume watatu(mvivu,anaomba kodi ya meza hata kabla ya meza yenyewe), kimuonekano alikuw ani mzuri kupita wote katika orodha ya wake wa chaguo langu. wa pili kwa uzuri katika list alikuwa maharage ya ^%^& UKIKUTANA NAYE HATA WEWE UKIMSTUA UNAKULA TUNDA huyu nilidumu naye mwaka mmj, alikuwa napenda sana ngono, na mimi nilipenda sana ngono, popte pale tulipokuwa miti inapigwa, alinifanya niwaze sana huko maishani itakuaje, ni assume nasafiri nitakuta watoto wamejaa, alikuwa mtamu sana kingono kuliko wa kwanza, changuo la tatu ni wifi yenu. Nampa bigup sana. huyu labda umbake, na utumie nguvu sana. hawezi kukufokea hata kidogo, kama umemkosea anakaa nalo moyoni anaumia na siku ukirudia tena na tena atazimia, amepata presha ya kukata tamaa, anaumwa, huwa anaanguka inaniuma sana, katika kanuni za maisha sijawahi kukubali kosa alilolijua dhahiri nilikataa sio mimi, na anaamini hivyo, kuwa muwme wake ni mkweli. moyoni najijua napiga viuno huko nje(sitamani mtu aige hizi tabia)
Nawaasa sana wanaotaka kuoa, au kuolewa ishi na mtu unayemfahamu hisia zake, wale wenye hisia za kuchepuka utajua tu, ila itabidi uwe mwizi mtaalamu wa kuchepuka zaidi yake, akikuzidi hapo ndio tatizo litakapokukuta)
nilipenda sana nipate mwanamke ambaye hata nikiwa america hatamvulia mwanaume mwingine pichu. nilichagua wanawake watato katika pita pita ya miaka 3-4(chuoni na kazini) nikichagua wife material, wa kwanza katika list sikuweza kuishi naye, alikuwa ni malaya, na alikuja kuzaa na wanaume watatu(mvivu,anaomba kodi ya meza hata kabla ya meza yenyewe), kimuonekano alikuw ani mzuri kupita wote katika orodha ya wake wa chaguo langu. wa pili kwa uzuri katika list alikuwa maharage ya ^%^& UKIKUTANA NAYE HATA WEWE UKIMSTUA UNAKULA TUNDA huyu nilidumu naye mwaka mmj, alikuwa napenda sana ngono, na mimi nilipenda sana ngono, popte pale tulipokuwa miti inapigwa, alinifanya niwaze sana huko maishani itakuaje, ni assume nasafiri nitakuta watoto wamejaa, alikuwa mtamu sana kingono kuliko wa kwanza, changuo la tatu ni wifi yenu. Nampa bigup sana. huyu labda umbake, na utumie nguvu sana. hawezi kukufokea hata kidogo, kama umemkosea anakaa nalo moyoni anaumia na siku ukirudia tena na tena atazimia, amepata presha ya kukata tamaa, anaumwa, huwa anaanguka inaniuma sana, katika kanuni za maisha sijawahi kukubali kosa alilolijua dhahiri nilikataa sio mimi, na anaamini hivyo, kuwa muwme wake ni mkweli. moyoni najijua napiga viuno huko nje(sitamani mtu aige hizi tabia)