Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,021
- 2,223
Akiweka picha nitagWeka picha Mkuu ili tukuelewe kwanini shetani anakuambia UMGEGEDE.
Akiweka picha nitagWeka picha Mkuu ili tukuelewe kwanini shetani anakuambia UMGEGEDE.
something is very much wrong somewhere.Mkuu mi hata niliwezawezaje! mfanyakazi wa kwanza wife kaenda masomoni kaniacha nae ndani miaka miwili,kanifanyia vitimbi vya kila namna.Nikimpa mshahara kila akirudi sokoni ataniletea zawadi,watoto wakiwa shule tukiwa wawili atashindia upande wa kanga chuchu zimejaa,kalio hilo mguu usiseme.siku moja kanga ikamvuka mbele yangu daah! nikikumbuka tu wife nikamshinda shetani.
Wa pili huyu alikuwa mgogo mweupee, shingo ina michirizi yuko vizuri kakaanza na kenyewe mitego,wife akawa anafanya juu chini asiwe karibu na mimi lakini wapi? sijamla na yeye kwa kumheshimu mke wangu.MKUU nakuunga mkono kuishi na hawa watu kama mwanaume HUJITAMBUI utaharibu nyumba yako
Afu ukute mkeo kule Chuoni alikuwa anasomewa na kulipa kwa njia mbadala! Shetani sio mtu mzuri!Mkuu mi hata niliwezawezaje! mfanyakazi wa kwanza wife kaenda masomoni kaniacha nae ndani miaka miwili,kanifanyia vitimbi vya kila namna.Nikimpa mshahara kila akirudi sokoni ataniletea zawadi,watoto wakiwa shule tukiwa wawili atashindia upande wa kanga chuchu zimejaa,kalio hilo mguu usiseme.siku moja kanga ikamvuka mbele yangu daah! nikikumbuka tu wife nikamshinda shetani.
Wa pili huyu alikuwa mgogo mweupee, shingo ina michirizi yuko vizuri kakaanza na kenyewe mitego,wife akawa anafanya juu chini asiwe karibu na mimi lakini wapi? sijamla na yeye kwa kumheshimu mke wangu.MKUU nakuunga mkono kuishi na hawa watu kama mwanaume HUJITAMBUI utaharibu nyumba yako
Wakuu,
Amani iwe Nanyi, takriban Mwezi wa Tatu huyu Dada aungane na Familia yetu lakini kila siku zinavyoenda najikuta shetani ananiambia nimgegede, mbaya zaidi dalili zote zaonesha she is ready for anything. Mpaka sasa nimefanikiwa kumshinda Shetani. Nashukuru kwa kukishinda kishawishi hiki.
Yuko nyumbani na anaendelea vyema kabisa na shughuli zake.