Dua zinagongana huko mbinguni .Kuna dua na maombi ya wale waliodhulumiwa uchaguzi wa 2015 Zanzibar na ushindi wao ukafutwa.Bado kila uchao wanamlilia yule anaemiliki uhai ili haki yao ipatikane.
Then anaona yanakuja maombi mengine ya wale wanaodhulumu haki ile hivi unadhani atakubali ombi...
Upo sahihi sana Dada yangu.
Wengi hawajui thamani ya harufu mzuri ya asili.Unakuta kijana au binti anatumia gharama kubwa sana ya vipodozi ili tu aikate harufu yake ya asili.
Wajifunze mfano wa wasichana wa kazi wanapovunja ungo nyumbani kwa tajiri wake Mara nyingi ndoa zinavurugika.Moja ya...
Ni bodi ya chama si ya ccm c..CUF ni taasisi imara na tutailinda kwa gharama yoyote dhidi ya vibaraka.Chini ya kiongozi mzalendo Maalim Seif hatimae tutavuka.
Kuna taarifa ambayo inahitaji uthibitisho kuwa kutokana na kibano cha wahisani mifuko ya Sacco's kubwa hasa za wafanyakazi zikahamishiwa au zimehamishiwa hazina.Tufanye uchunguzi juu ya taarifa hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.