KAMA MTU ALIPANDA DARAJA MWAKA JANUARI 2016 AKAANDIKWA BARUA NOVEMBA 2017 UNATEGEMEA NINI HAPO WAKATI WENGINE WALIENDELEA KULIPWA. JIONGEZE HAKUNA HAKI AWAMU HII
Watumishi wa umma hasa wale walioajiriwa 2013 na mpaka sasa hawajapanda madaraja wakati sheria inasema kila baada ya miaka mitatu anapaswa kupanda daraja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.