IPo elfu 70 hapa kwenye mfuko wa shati.ninunulie kabisa na pepsi big 2 ziweke ndani zipate ubaridi, ukija nakurudishia ela yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua huyo simba alikuwa na ukubwa gani? Maana kama alikuwa simba mdogo au simba jike ni lazima apigwe na Tiger.
You tube ndo msema kweli maana mapambano mengi kati ya Tiger na simba 90℅ ushindi uwa unaenda kwa Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani ebu acheni kumfananisha Lion King na vitu vya kijinga.mnataka kuniambia kuwa waliyomwita ilo jina walichukua rushwa?.huyu jamaa katika dictionary yake uwa hakunaga neno (kumkimbia mpinzani), hata uyo mamba uwa anakimbia akijua kuwa kaingia kwenye 18 za Lion king
Sent using Jamii Forums...
Ni kweli watu wengi bado awajapata elimu kuhusu huu ugojwa, hapa mtaani kwetu kuna mwarabu anafuturisha watu tena mbaya zaidi wengi ni watoto wadogo.
Nimesikitika sana baada ya kuona hali ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni listi ya watu hatari usiombe kukutana nao
* Magwelele
*Dege
Maeneo ya buza kuna mtu anaitwa
* Ally white
Maeneo ya majohe kwa ngozoma kuna mtu anaitwa
*Noa
Maeneo ya mzambarauni kuna mtu anaitwa
* Bad mwite
Hawa ukikutana nao usikubali kupewa hata sare 1 maana ni zaidi ya wezi...
wewe unaleta siasa mi sio mwanasiasa mi nataka data kuwa Uturuki kafanya nini chakushangaza ulimwengu.Iran tumeona alichomfanyia Marekani katengeneza ballistic missile,kisha kazituma vizuri na zikafika salama kabisa.huyo Uturuki kafanya nini kwenye ulimwengu wa kivita
Sent using Jamii Forums...
Historia hiyo unayotuletea sijui Ottoman empire kwa sasa aina maana ndugu maana kutoka huko mpaka hapa tulipo sio mchezo.Iran tuliona vita yake na Iraq ya Saddam hussen iliyokuwa on fire lakini matokeo yake yaliwashangaza wengi.
Tumeona waasi wa houth wanaosaidiwa na Iran jinsi walivyokuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.