Turkey seeks US Patriot Missiles to deter Russia in Syria

Kwenye masuala mazima ya nyanja ya kijeshi SAUDIA na TURKEY Hawana Maajabu

Bila Misaada Yakiulinzi Kutoka Kwawashirika Wao SAUDIA na TURKEY Zitakua Kama Zilivyo YEMEN SYRIA YEMEN LEBANON IRAQ nawengine

Kiufupi Kwenye Nyanja Hizo Nlizozitaja Jamaa Hawana Maajabu

Uwepo wa maslahi ya US Pale SAUDIA na TURKEY Ndio Kunayafanya Yale mataifa Yawe Vile Unavyo Yaona

Hemu Vuta Picha Kama Migogoro Iliopo Baina ya US na IRAN Kama Ndio Ingekua Ipo Baina Ya SAUDIA na US Ama TURKEY na US Unadhani Hayo Mataifa Yangekua Kama Yalivyo sasa Eidha Yangelikua Yaisha Samabaratishwa Ama Yashavurugwa

IRAN Anakutana Nachangamoto sana kulinganisha nahayo mataifa mawili tajwa hapo juu ila Bado Yuko Imara


Nahisi Umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Saudis nalo ni taifa la kushangaza na kutisha? Afadhali turkey kidogo.. Hawa wote ni vibaraka wa marekani.. wanategemea kila kituvkutoka Western world..
Yaani kwa miaka 10 tu wairan waachwe bila vikwazo kila Jambo zuri la kiteknolojia , kijeshi, kijamii, kiuchumi litaonekana ndani ya UAJEMI..
Watakuwa real superpower ya middle east yote.. na US NYUMBANI kwao watarudi ..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza hiki kiburi cha kumvimbia Marekani hawa Iran wanakipata wapi ilihali wapo nyuma sana.

Ukiondoa Makombora ya masafa na cyber warfare ni eneo gani jingine Iran yupo vizuri? maana naona kama kaamua kujikita hapo kwenye makombora ya masafa marefu na mafupi sababu jeshi lake la anga bado ni duni sana.
Histori, phisics, chemistry, hakuna zaidi yao isipokuwa Israel..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza hiki kiburi cha kumvimbia Marekani hawa Iran wanakipata wapi ilihali wapo nyuma sana.

Ukiondoa Makombora ya masafa na cyber warfare ni eneo gani jingine Iran yupo vizuri? maana naona kama kaamua kujikita hapo kwenye makombora ya masafa marefu na mafupi sababu jeshi lake la anga bado ni duni sana.
Kingine usijiulize tu Iran wanapata wapi kiburi, jiulize pia kwanini marekani huwaogopa Iran kuliko yeyote middle east..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcourse nilitaka kumaanisha Su-25 maana Mikoyan na Sukhoi huwa nazichanganya. Mfano -34, -35, -27 huwa nasahau nani ni Su- na nani ni Mig-. Ni kama kutofautisha Mil- na Ka- ilivokuwa inanisumbua.

Hezbollah kuwepo iyo nimesoma na wala sikuwa najua kabla kwamba walikuwepo very active mwanzoni kabisa na kwa wingi. Miaka ya karibuni wamepunguza uwepo wao labda ndo maana sikuwazingatia.
Heshima kwako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uwa mnatumia kipimo gani kupata majibu hayo maana ninavyojua mimi Iran sio mtu wa mchezo mchezo ndugu.Huyo Uturuki kafanya nini kikubwa mpaka awe tishio

Sent using Jamii Forums mobile app
Uturuki kafanya nini mpaka awe tishio. Iko hivi:
Historia haihiitaji maelezo mengi kusema Ottoman empire tokea kipindi cha kina Mehmet II aliyefanya uislamu usambae mpaka kwenye territory za kikatoliki, tukija mpaka kwa modern days leaders kama Ataturk baba wao wa taifa. Uturuki au tukimpa credit nzima ya Ottoman empire ana historia nzuri kama ilivokuwa Persia lakini alimzidi sana Persia.
Ottoman waliingia WW 1 na ndicho kiliwafanya wasambaratishe himaya yao.

Uturuki anatengeneza silaha zake mwenyewe nyingi tu. Ana makampuni kama Aselsan Konya.
Kwa rank ni wa 15 duniani katika kununua silaha, uku mwenyewe akiwa ameuza silaha za USD 8 billion kwa miaka hii 8 (report ya mwaka huu)

70% ya silaha zake anatengeneza mwenyewe. Ana miradi kama kutengeneza laser, helicopter, meli za kivita, submarine, vifaru, anti ship defense system, air defense system na drones za aina nyingi. Hiyo miradi sio kwenye makaratasi, iko na prototypes na iko inanestiwa.

Huyo Iran ana Bavar air defense system, ana kamikaze drones ambazo ni rahisi kutengeneza. Ana litoral na midget submarines zile ambazo hata N.Korea wanazo. Ana missiles za range tofauti hapa anamzidi Uturuki, ana missile speed boats nyingi hapa anamzidi Uturuki. Hana vifaru vyake wala jet wala helicopter.

Iran bado wanatumia Tomcats, Phantoms na Su-29 kama backbone ya airforce wakati Uturuki wana Phantoms na hizi F-16 ambazo walitengeneza wenyewe kwa kibali cha U.S.
Iran waongo sana kwenye taarifa zao. Walituonesha mavyuma yamepaki wakada ni stealth fighter.
 
The world needs Michael Bloomberg let us all support him. Paza sauti popote ulipo duniani MICHAEL BLOOMBERG
The World needs Michael Bloomberg?He is part of the American Deeper State or the New World Order elite if you wish,so he is not for us.We need an American President who does not support the New World Order agenda.Unfortunately the New World Order idiots cannot allow that.This reminds me of four sitting American Presidents who were assassinated because they failed to support the NWO agenda: Abraham Lincoln(1865), James Abram Garfield (1881), William McKinley (1901), and John F. Kennedy (1963).

Under the circumstances however the best choice would be Bernie Sanders,not Michael Bloomberg.
 
Uturuki kafanya nini mpaka awe tishio. Iko hivi:
Historia haihiitaji maelezo mengi kusema Ottoman empire tokea kipindi cha kina Mehmet II aliyefanya uislamu usambae mpaka kwenye territory za kikatoliki, tukija mpaka kwa modern days leaders kama Ataturk baba wao wa taifa. Uturuki au tukimpa credit nzima ya Ottoman empire ana historia nzuri kama ilivokuwa Persia lakini alimzidi sana Persia.
Ottoman waliingia WW 1 na ndicho kiliwafanya wasambaratishe himaya yao.

Uturuki anatengeneza silaha zake mwenyewe nyingi tu. Ana makampuni kama Aselsan Konya.
Kwa rank ni wa 15 duniani katika kununua silaha, uku mwenyewe akiwa ameuza silaha za USD 8 billion kwa miaka hii 8 (report ya mwaka huu)

70% ya silaha zake anatengeneza mwenyewe. Ana miradi kama kutengeneza laser, helicopter, meli za kivita, submarine, vifaru, anti ship defense system, air defense system na drones za aina nyingi. Hiyo miradi sio kwenye makaratasi, iko na prototypes na iko inanestiwa.

Huyo Iran ana Bavar air defense system, ana kamikaze drones ambazo ni rahisi kutengeneza. Ana litoral na midget submarines zile ambazo hata N.Korea wanazo. Ana missiles za range tofauti hapa anamzidi Uturuki, ana missile speed boats nyingi hapa anamzidi Uturuki. Hana vifaru vyake wala jet wala helicopter.

Iran bado wanatumia Tomcats, Phantoms na Su-29 kama backbone ya airforce wakati Uturuki wana Phantoms na hizi F-16 ambazo walitengeneza wenyewe kwa kibali cha U.S.
Iran waongo sana kwenye taarifa zao. Walituonesha mavyuma yamepaki wakada ni stealth fighter.
Historia hiyo unayotuletea sijui Ottoman empire kwa sasa aina maana ndugu maana kutoka huko mpaka hapa tulipo sio mchezo.Iran tuliona vita yake na Iraq ya Saddam hussen iliyokuwa on fire lakini matokeo yake yaliwashangaza wengi.

Tumeona waasi wa houth wanaosaidiwa na Iran jinsi walivyokuwa na nguvu mpaka wanapiga ndani ya Saidia,sio mchezo ndugu.Pia wote tunawajua watu wa kuitwa Hezbollan.

Uturuki kafanya nini kikubwa mpaka apewe eshima iyo ndugu.kule Libya kapeleka wanajeshi wake lakini chamoto wanakipata mbele ya mbabe wa kivita General Haftar.Syria toka apeleke jeshi waasi ndo wamezidi kuwa dhaifu maana sehemu muhimu zinachukuliwa kiwepesi sana na Assad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uturuki kafanya nini mpaka awe tishio. Iko hivi:
Historia haihiitaji maelezo mengi kusema Ottoman empire tokea kipindi cha kina Mehmet II aliyefanya uislamu usambae mpaka kwenye territory za kikatoliki, tukija mpaka kwa modern days leaders kama Ataturk baba wao wa taifa. Uturuki au tukimpa credit nzima ya Ottoman empire ana historia nzuri kama ilivokuwa Persia lakini alimzidi sana Persia.
Ottoman waliingia WW 1 na ndicho kiliwafanya wasambaratishe himaya yao.

Uturuki anatengeneza silaha zake mwenyewe nyingi tu. Ana makampuni kama Aselsan Konya.
Kwa rank ni wa 15 duniani katika kununua silaha, uku mwenyewe akiwa ameuza silaha za USD 8 billion kwa miaka hii 8 (report ya mwaka huu)

70% ya silaha zake anatengeneza mwenyewe. Ana miradi kama kutengeneza laser, helicopter, meli za kivita, submarine, vifaru, anti ship defense system, air defense system na drones za aina nyingi. Hiyo miradi sio kwenye makaratasi, iko na prototypes na iko inanestiwa.

Huyo Iran ana Bavar air defense system, ana kamikaze drones ambazo ni rahisi kutengeneza. Ana litoral na midget submarines zile ambazo hata N.Korea wanazo. Ana missiles za range tofauti hapa anamzidi Uturuki, ana missile speed boats nyingi hapa anamzidi Uturuki. Hana vifaru vyake wala jet wala helicopter.

Iran bado wanatumia Tomcats, Phantoms na Su-29 kama backbone ya airforce wakati Uturuki wana Phantoms na hizi F-16 ambazo walitengeneza wenyewe kwa kibali cha U.S.
Iran waongo sana kwenye taarifa zao. Walituonesha mavyuma yamepaki wakada ni stealth fighter.
Eti Iran Hana helcopter,vifaru,ndege?
Kwa ufupi mturuki hamfikii Iran katika military industry,,hata ndege uturuki bado Yuko kwenye michoro,wakati Iran wako kwenye testing,
Iran anajitegemea silaha kwa 90%
 
Uturuki kafanya nini mpaka awe tishio. Iko hivi:
Historia haihiitaji maelezo mengi kusema Ottoman empire tokea kipindi cha kina Mehmet II aliyefanya uislamu usambae mpaka kwenye territory za kikatoliki, tukija mpaka kwa modern days leaders kama Ataturk baba wao wa taifa. Uturuki au tukimpa credit nzima ya Ottoman empire ana historia nzuri kama ilivokuwa Persia lakini alimzidi sana Persia.
Ottoman waliingia WW 1 na ndicho kiliwafanya wasambaratishe himaya yao.

Uturuki anatengeneza silaha zake mwenyewe nyingi tu. Ana makampuni kama Aselsan Konya.
Kwa rank ni wa 15 duniani katika kununua silaha, uku mwenyewe akiwa ameuza silaha za USD 8 billion kwa miaka hii 8 (report ya mwaka huu)

70% ya silaha zake anatengeneza mwenyewe. Ana miradi kama kutengeneza laser, helicopter, meli za kivita, submarine, vifaru, anti ship defense system, air defense system na drones za aina nyingi. Hiyo miradi sio kwenye makaratasi, iko na prototypes na iko inanestiwa.

Huyo Iran ana Bavar air defense system, ana kamikaze drones ambazo ni rahisi kutengeneza. Ana litoral na midget submarines zile ambazo hata N.Korea wanazo. Ana missiles za range tofauti hapa anamzidi Uturuki, ana missile speed boats nyingi hapa anamzidi Uturuki. Hana vifaru vyake wala jet wala helicopter.

Iran bado wanatumia Tomcats, Phantoms na Su-29 kama backbone ya airforce wakati Uturuki wana Phantoms na hizi F-16 ambazo walitengeneza wenyewe kwa kibali cha U.S.
Iran waongo sana kwenye taarifa zao. Walituonesha mavyuma yamepaki wakada ni stealth fighter.
Uko sahihi kabisa! Uturuki ni taifa bora la kimkakati na muhimu sana hapo Mashariki ya Kati.
Iran kuifikia Uturuki itachukua muda Sana.
 
Eti Iran Hana helcopter,vifaru,ndege?
Kwa ufupi mturuki hamfikii Iran katika military industry,,hata ndege uturuki bado Yuko kwenye michoro,wakati Iran wako kwenye testing,
Iran anajitegemea silaha kwa 90%
Mkuu! Iran ana ndege gani za kumzidi Uturuki? Au anafanya tu "reverse engineering" za ndege za zamani za Marekani.

Military Industry ya Iran imejikita zaidi kutengeneza makombora ya masafa marefu na mafupi maana ni nafuu kwao huko kwingine kwenye vifaru, helicopter na ndege hamna kitu.
 
Historia hiyo unayotuletea sijui Ottoman empire kwa sasa aina maana ndugu maana kutoka huko mpaka hapa tulipo sio mchezo.Iran tuliona vita yake na Iraq ya Saddam hussen iliyokuwa on fire lakini matokeo yake yaliwashangaza wengi.

Tumeona waasi wa houth wanaosaidiwa na Iran jinsi walivyokuwa na nguvu mpaka wanapiga ndani ya Saidia,sio mchezo ndugu.Pia wote tunawajua watu wa kuitwa Hezbollan.

Uturuki kafanya nini kikubwa mpaka apewe eshima iyo ndugu.kule Libya kapeleka wanajeshi wake lakini chamoto wanakipata mbele ya mbabe wa kivita General Haftar.Syria toka apeleke jeshi waasi ndo wamezidi kuwa dhaifu maana sehemu muhimu zinachukuliwa kiwepesi sana na Assad.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi ona jenerali wa Uturuki akiwa nchi yoyote ile frontline? Kina Soleimani ambaye ni alikuwa top three ya majenerali wa Iran alikuwa anaenda uko kote wanakokuwa. Uturuki hana shida sana na Libya maana kuna mercenaries kutoka Syria. Kwanza miradi ya mafuta iliyompeleka ashaichukua na sasa yuko kwenye malumbano na Italy, Greece na Egypt.

Huwezi linganisha performance ya U.S kwenye vita ya Angola na Vietnam. Angola alisupply weapons, Vietnam akaenda mwenyewe. Kwa Uturuki hii Angola=Libya, Syria bado sana iwe kama Vietnam. Kwanza wameenda mwezi huu, kwani hujui WW2 Japan na Germany zilianza kwa kuongoza. Mwishowe ikawaje, ni vigumu kutoa conclusion ya vita iliyoanza 2012 kwa performance ya mwezi mmoja tu.
 
Eti Iran Hana helcopter,vifaru,ndege?
Kwa ufupi mturuki hamfikii Iran katika military industry,,hata ndege uturuki bado Yuko kwenye michoro,wakati Iran wako kwenye testing,
Iran anajitegemea silaha kwa 90%
Tuambie vifaru gani, ndege gani, helicopter gani tulinganishe. Ndege zao zote ziko testing phase na ni reverse engineered, haziwezi kuwa hata 4th generation. Yaani unareverse engineer Phantom iwe airfighter, bora ingekuwa bomber hizo huwa hazibadiliki sana. Vifaru kasome walivokarabwalivokarabati, Turkey ana new type kabisa. Turkey ana attack helicopter mpya kabisa wala sio copy. Unalinganisha boats zao wakati za Iran walifundishwa na N.Korea, ushaona ule uchafu walionao Korea.
 
Ushawahi ona jenerali wa Uturuki akiwa nchi yoyote ile frontline? Kina Soleimani ambaye ni alikuwa top three ya majenerali wa Iran alikuwa anaenda uko kote wanakokuwa. Uturuki hana shida sana na Libya maana kuna mercenaries kutoka Syria. Kwanza miradi ya mafuta iliyompeleka ashaichukua na sasa yuko kwenye malumbano na Italy, Greece na Egypt.

Huwezi linganisha performance ya U.S kwenye vita ya Angola na Vietnam. Angola alisupply weapons, Vietnam akaenda mwenyewe. Kwa Uturuki hii Angola=Libya, Syria bado sana iwe kama Vietnam. Kwanza wameenda mwezi huu, kwani hujui WW2 Japan na Germany zilianza kwa kuongoza. Mwishowe ikawaje, ni vigumu kutoa conclusion ya vita iliyoanza 2012 kwa performance ya mwezi mmoja tu.
wewe unaleta siasa mi sio mwanasiasa mi nataka data kuwa Uturuki kafanya nini chakushangaza ulimwengu.Iran tumeona alichomfanyia Marekani katengeneza ballistic missile,kisha kazituma vizuri na zikafika salama kabisa.huyo Uturuki kafanya nini kwenye ulimwengu wa kivita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuambie vifaru gani, ndege gani, helicopter gani tulinganishe. Ndege zao zote ziko testing phase na ni reverse engineered, haziwezi kuwa hata 4th generation. Yaani unareverse engineer Phantom iwe airfighter, bora ingekuwa bomber hizo huwa hazibadiliki sana. Vifaru kasome walivokarabwalivokarabati, Turkey ana new type kabisa. Turkey ana attack helicopter mpya kabisa wala sio copy. Unalinganisha boats zao wakati za Iran walifundishwa na N.Korea, ushaona ule uchafu walionao Korea.
Turkey anatengeneza ndege f-16 under lesen ya US,
Japo wako mbioni kuunda indigneous plane ila bado iko kwenye planning,
Iran wameunda ndege yako iko kwenye prototype stage,
Kuunda ndege sio suala la kuamua siku moja Ni process ndefu,
Iran baada ya vikwazo vya silaha kuisha mwezi oktoba wanatarajia kuzalisha sukhou 30 under leseni,lakini pia wanaendelea kudevelop ndege yao ambayo iko kwenye testing stage,
Kuhusu helcopter Iran wanaunda helcopter japo sio attack helcopter
Walichofanya Iran,walioffset mapungufu yao ya kuwekewa vikwazo vya kununua ndege,wao wakadevelop missile programme,
Faida ya kombora juu ya ndege Ni kuwa kombora halihitaji rubani,kombora Lina speed kuliko ndege ,ndege ikitunguliwa umepata hasara ya ndege na rubani,
Walichofanya Iran pia wakadevelop air defence system,,hivyo anga la Iran liko safe kuliko Turkey,,uturuki Hana air defence ya maana kwani alitegemea ulinzi wa Nato,na marekani walimnyima kumuuzia air defence ili aendelee kuwa tegemezi kwao ili siku wakiamua kumdunda I we rahisi kwao,

Endorgan alipoona marekani wametaka kumpindua ndoo akajua Yuko hatarini ndo akaanza kununua air defence ya mrusi,
Narudia Tena uturuki hawezi kuizidi Iran kwa military industry kwa Sasa,japo Sasa wameshituka ndo wanawekeza kwa speed
 
The World needs Michael Bloomberg?He is part of the American Deeper State or the New World Order elite if you wish,so he is not for us.We need an American President who does not support the New World Order agenda.Unfortunately the New World Order idiots cannot allow that.This reminds me of four sitting American Presidents who were assassinated because they failed to support the NWO agenda: Abraham Lincoln(1865), James Abram Garfield (1881), William McKinley (1901), and John F. Kennedy (1963).

Under the circumstances however the best choice would be Bernie Sanders,not Michael Bloomberg.
GT even you you are superstitious and believing in conspiracy theories?
 
Turkey anatengeneza ndege f-16 under lesen ya US,
Japo wako mbioni kuunda indigneous plane ila bado iko kwenye planning,
Iran wameunda ndege yako iko kwenye prototype stage,
Kuunda ndege sio suala la kuamua siku moja Ni process ndefu,
Iran baada ya vikwazo vya silaha kuisha mwezi huu wanatarajia kuzalisha sukhou 30 under leseni,lakini pia wanaendelea kudevelop ndege yao ambayo iko kwenye testing stage,
Kuhusu helcopter Iran wanaunda helcopter japo sio attack plane,
Walichofanya Iran,walioffset mapungufu yao ya kuwekewa vikwazo vya kununua ndege,wao wakadevelop missile programme,
Faida ya kombora juu ya ndege Ni kuwa kombora halihitaji rubani,kombora Lina speed kuliko ndege ,ndege ikitunguliwa umepata hasara ya ndege na rubani,
Walichofanya Iran pia wakadevelop air defence system,,hivyo anga la Iran liko safe kuliko Turkey,,uturuki Hana air defence ya maana kwani alitegemea ulinzi wa Nato,na marekani walimnyima kumuuzia air defence ili aendelee kuwa tegemezi kwao ili siku wakiamua kumdunda I we rahisi kwao,

Endorgan alipoona marekani wametaka kumpindua ndoo akajua Yuko hatarini ndo akaanza kununua air defence ya mrusi,
Narudia Tena uturuki hawezi kuizidi Iran kwa military industry kwa Sasa,japo Sasa wameshituka ndo wanawekeza kwa speed
Mkuu vipi yale madumu 500+ ya mafuta ya Alizeti inahitaji?
 
Back
Top Bottom