Mohameddiwani
Senior Member
- Jul 11, 2018
- 153
- 307
Unamwazishia mwenzako mbovu, alafu na yeye anakuanzishia mbovu baadaeDraughts ukifika level za juu kabisa unakuwa hufungiki, hata akija bingwa mkali mnatoa sare tu labda mcheze technique games yaani michezo ya kulazimisha uanze kete fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app