Another silly political gimmick and west of time. If TLS is seriously about justices they should help people who real need advocates services not pretending to help Lady Karume whos family is great beneficially of CCM to mention accusation of Prison Island in Zanzibar, grabbing Anglican Land...
Next Budget 2017/2018 huku hizo 34% hazituhusu sana, tuko interest na bei ya mazao iwe nzuri na barabara zitengenezwa baada ya mvua na tayari kuna mitambo tayari site, sisi ni burudani tu. Wale wenye njaa karibuni kuna mahindi na maharage ya kutosha na viazi mviringo vya kutisha mpaka hakuna...
Kulalamika bila kutoa njia mbadala naweza kusema ni intellectual laziness, yeye yuko chama tawala anawaza kuleta njia mbadala na sio kusema tu ili asikike kuwa yuko edge.
Bado hatutapata majibu nilidhani angetumia forensic accountant to unmask mchakato mzima wa process za malipo na manunuzi ya Acacia ndio dodge zaidi Tanzania
Uko kwenye CDM bubble Urban Elite, beneficially of old dealers, CCM huku rule area kinashamiri, nyie shughulikieni maswala ya Wema Sepatu. CCM huku wanashughulikia maswala ya Wakulima. Mpaka sasa pembejeo za msimu ujao zimeanza kuletwa hata kabla ya msimu haujaanza na hata budget haijapitishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.