Kenya yatia rekodi mpya kwenye ukusanyaji wa kodi na kufikisha KSh1.114 trillion

Hawa jamaa huwa na Vioja sana,
Hata Nigeria wana GDP ya 520bn,
Yaani 8times Kenya's but they have nothing to show, Just Like you Kenyans boasting in here n yet you can only show us Chinese sub standard & overpriced projects
Wacha povu. This Kenya news.

Kwa hivyo tusiletange habari za ufanisi humu ati hiyo itakuwa ni kuboast?
 
jambo nzuri kweli ila haitaleta mafanikio yoyote kama viongozi wetu ni wezi kupindukia...hivi huwa sielewi, yaani kwa 10 Billion USD kenya inaeza kosa pesa zimesalia za kujenga reli ya SGR na kujenga stadiums, light rail pamoja na kuzidisha uwezo wa port zetu? yaani kila wakati mkopo mkopo mkopo...hivi hizi 10 Billion kwani huwa zinaenda wapi?
SGR=mkopo
barabara=mkopo
port expansion=mkopo
power generation(geothernal plants)=mkopo
chakula na mahindi kutoka nje=donations
nairobi- mombasa highway surplus lanes=mkopo
hivi sisi tuna akili kweli?
stadium ya kisasa ni kati ya 150 na 450 million USD kulingana na design
light rail ni kama 400 million USD
hivi baada ya kulipa wafanyikazi wote tunaeza kosa pesa za maendeleo kutoka kwa hii 10 Billion mpaka tumkimbilie mchina??
apana Kenya lazma kuna tatizo kubwa sana...dili zimezidi plus mishahara za wabunge ni lazma zipunguzwe...hawa jamaa walafi sana..
 
Wakenya mashemeji zangu maana nimeoa uko acheni kujisifia sana wakati hali halisi inajulikana
 
Kitu gani kimefanya deni lenu la taifa kukua kwa kasi ya ajabu tangu 2013? Pesa mlizokopa mnafanyia nini? Kwa makusanyo hayo ilibidi muwe mnajitosheleza kwa miradi mingi bila kukopa.
Hiyo deni imeongezeka juu ya hizi miradi midogo? Unaelewa unachozungumzia hapa?

Kenya tops East Africa with mega infrastructure projects

Kenya haiwezi kuchukua madeni eti kijenga barabara ya 100km.
Nilikuuliza unieleze kama Tz haina mipango ya kuborrow pesa za Sgr, bandari na pipeline pamoja na miradi ya juweka pumps na plants za gesi. Haukunijibu.
 
Hongereni wakuu, sisi huku hata kutangaza wameacha, sijui bado wanalitafuta lengo. Huku habari ya mjini ni makinikia tu.
Vipi huko na ninyi mna makinikia kama sisi huku?
 
danganya watz tu sisi waKenya twajua government ilivo na rushwa mbaya.... wait for election
 
Meanwhile those who haven't filed returns go to the KRA itax website before the deadline
 
Hili kwa kweli ni jambo la kutia moyo maana likija kwenye suala la uzalendo, Wakenya tupo mbele, tatizo ni viongozi wanatuangusha tu. Hongera kwa kila mlipa kodi, japo KRA hawakufikisha malengo lakini kilichosalia kitakusanywa kwa mwezi mmoja uliobakia.

Kuna wadau humu ndani walibashiri kuipita Kenya ndani ya mwaka mmoja, sasa ikiwa makusanyo yetu ya kodi ni sawia na ukiunganisha na kujumuisha bajeti za nchi kadhaa EAC, hapo inakuakuaje........

----------------------------------------------------------------------------------------------------

Total tax collections in 11 months ended May 31 reached a record Sh1.114 trillion, official exchequer data shows, a growth of 12.77 per cent over Sh987.85 billion collected in the same period last year.

The Kenya Revenue Authority will, however, have to collect Sh153 billion this month to hit the revised full-year target of Sh1.267 trillion set by the National Treasury.

The taxman missed the Sh1.161 trillion target for 11 months on pro rata basis by 4.05 per cent, despite netting Sh124.06 billion in May since collections for the July-April period were Sh989.94 billion.

The Statement of Actual Revenue and Net Exchequer Issues, published by the Treasury CS Henry Rotich in the Kenya Gazette on Friday, shows that total government revenue between July 2016 and May 2017 hit Sh1.764 trillion.

That was a 9.98 per cent growth compared with Sh1.588 trillion a year ago.

The Treasury has a full-year revenue target of Sh2.054 trillion for 2016-17 – meaning the government will have to find some Sh290 billion this month to hit the target, having missed it by 6.27 per cent in 11 months ended May 31.

Tax collections accounted for 63.15 per cent of the total revenue generated by the government in the review period.
Non-tax income rose by 24.70 per cent year-on-year in the 11 months to Sh41.90 billion, but hugely under-performed a target of Sh95.61 billion on a pro-rated basis, given the full-year target of 104.30 billion.

Commercial loans to the government surpassed the revised Sh186.04 billion target for 12 months to stand at Sh186.30 billion in 11 months ended May 31 – Sh111.97 billion more than the Sh74.33 billion borrowed the year before. The target was revised upwards from Sh153.78 billion in the printed budgetary estimates.

“Following Kenya’s elevation to lower middle income economy status in September 2014, recourse to borrowing on commercial and semi-concessional terms has increased while that on concessional terms has declined,” the Central Bank of Kenya said in the quarterly Economic Review for October-December released on April 18.

Net domestic debt was Sh312.01 billion in the review period, 19.65 per cent shot of the Sh388.34 billion on a pro rata basis which reflects the decision by the CBK to reject “expensive” debt offers.

The full-year target from domestic borrowing is Sh423.65 billion.

Grants from the peacekeeping African Union Mission in Somalia rose by 21.44 per cent to Sh5.21 billion from Sh4.29 billion the year before. The Treasury targets Sh6.44 billion from Amisom by end of the month.

Other sources of revenue included loans from foreign governments and international organisations at Sh24.93 billion, 10.06 per cent more than Sh22.65 billion last year.

KRA nets a record Sh1.114tn in 11 months but misses target
Hizo kiki tu za viongozi ili muwape kura tena
 
Wala hakuna cha kushangilia hapa, lengo mliloliweka wenyewe mmeshidwa kulitimiza. Inaoneka the person who set the target alilewa na takwimu akasema watafikisha target ya KShs 2tri, labda biashara mlizo tarajia kuanza kuwalipa kodi zimeshindwa kufanya biashara.

Kitu ulichotakiwa ukitilie maanani ni mfumuko wa bei (inflation), bei zinaongezeka mwezi hadi mwezi, wananchi wa kawaida anaumizwa ukiliganisha kipato chao ni kidogo. Hata ukiwaongezea mshahara, ongezeko hilo litamezwa na mfumuko wa bei.
 
Wala hakuna cha kushangilia hapa, lengo mliloliweka wenyewe mmeshidwa kulitimiza. Inaoneka the person who set the target alilewa na takwimu akasema watafikisha target ya KShs 2tri, labda biashara mlizo tarajia kuanza kuwalipa kodi zimeshindwa kufanya biashara.

Kitu ulichotakiwa ukitilie maanani ni mfumuko wa bei (inflation), bei zinaongezeka mwezi hadi mwezi, wananchi wa kawaida anaumizwa ukiliganisha kipato chao ni kidogo. Hata ukiwaongezea mshahara, ongezeko hilo litamezwa na mfumuko wa bei.
QUOTE]
Tafadhali usionyeshe wazi ignorance yako. Nani alitaja 2 trillion target ya tax collection. It seems you don't even have the basics of a country's sources of revenue because for a national budget of ksh 2.6 trn, there's no way tax revenue alone accounts for 80%, so go back, do your math and come back with reasonable figures.
So if sh 1.14 tn has been collected for 11 months, with a target of sh1.26 tn, and a whole month to spare, i don't see how that's not an achievement with almost 100% accurate prediction.
Nawahurumia wanaokuamini mpaka wana like post yako.
 
jambo nzuri kweli ila haitaleta mafanikio yoyote kama viongozi wetu ni wezi kupindukia...hivi huwa sielewi, yaani kwa 10 Billion USD kenya inaeza kosa pesa zimesalia za kujenga reli ya SGR na kujenga stadiums, light rail pamoja na kuzidisha uwezo wa port zetu? yaani kila wakati mkopo mkopo mkopo...hivi hizi 10 Billion kwani huwa zinaenda wapi?
SGR=mkopo
barabara=mkopo
port expansion=mkopo
power generation(geothernal plants)=mkopo
chakula na mahindi kutoka nje=donations
nairobi- mombasa highway surplus lanes=mkopo
hivi sisi tuna akili kweli?
stadium ya kisasa ni kati ya 150 na 450 million USD kulingana na design
light rail ni kama 400 million USD
hivi baada ya kulipa wafanyikazi wote tunaeza kosa pesa za maendeleo kutoka kwa hii 10 Billion mpaka tumkimbilie mchina??
apana Kenya lazma kuna tatizo kubwa sana...dili zimezidi plus mishahara za wabunge ni lazma zipunguzwe...hawa jamaa walafi sana..
A hundred dollars question
 
Hiyo deni imeongezeka juu ya hizi miradi midogo? Unaelewa unachozungumzia hapa?

Kenya tops East Africa with mega infrastructure projects

Kenya haiwezi kuchukua madeni eti kijenga barabara ya 100km.
Nilikuuliza unieleze kama Tz haina mipango ya kuborrow pesa za Sgr, bandari na pipeline pamoja na miradi ya juweka pumps na plants za gesi. Haukunijibu.
Pipeline haituhusu Uganda na Total ndo wana finance. We will only pay for 8-15% of refinery cost. Get that in ur coconut skull...
 
Uchaguzi si Karibuni tu hapa.. habari nzuri kama hizi lazima ziwepo..

"wakati mwingine hata kama sio kweli'
 
jambo nzuri kweli ila haitaleta mafanikio yoyote kama viongozi wetu ni wezi kupindukia...hivi huwa sielewi, yaani kwa 10 Billion USD kenya inaeza kosa pesa zimesalia za kujenga reli ya SGR na kujenga stadiums, light rail pamoja na kuzidisha uwezo wa port zetu? yaani kila wakati mkopo mkopo mkopo...hivi hizi 10 Billion kwani huwa zinaenda wapi?
SGR=mkopo
barabara=mkopo
port expansion=mkopo
power generation(geothernal plants)=mkopo
chakula na mahindi kutoka nje=donations
nairobi- mombasa highway surplus lanes=mkopo
hivi sisi tuna akili kweli?
stadium ya kisasa ni kati ya 150 na 450 million USD kulingana na design
light rail ni kama 400 million USD
hivi baada ya kulipa wafanyikazi wote tunaeza kosa pesa za maendeleo kutoka kwa hii 10 Billion mpaka tumkimbilie mchina??
apana Kenya lazma kuna tatizo kubwa sana...dili zimezidi plus mishahara za wabunge ni lazma zipunguzwe...hawa jamaa walafi sana..

Bora umesema wewe, nikisema mimi MK254 na Iconoclastes wananiona mbaya.
 
Yaani nani alitak kufananisha KENYA na tanzania Kiuchumi, kule watu wanajielewa,,,Tanzania Illiteracy kubwa saana
 
Back
Top Bottom