Recent content by moffee

  1. M

    Shyrose Bhanji akamatwa baada ya kupigana na Nderakindo Kessy jijini Nairobi

    Mbona mnaumiza vichwa? Anatumia kile kitu cha Arush Jamani
  2. M

    Sijaona sababu ya rais kukaa nje ya nchi kwa nusu mwezi

    ....Real Change begins with People.... Nimeipenda sana hii. Hivi kweli hata kama tunalipa kodi kidogo kiasi gani. Je si haki yetu kuuliza juu ya matumizi yake... Tuwe wazlendo jamani.
  3. M

    Peni za kurekodi, spycon pen

    visit www.lugumienterprises.com
  4. M

    Msimamo wa UKAWA wazidi kuwa mkali!

    Lkini Jamani ccm kwani mkiwasikiliza hao ukawa na kukubali yaliyo yao kwa uchache hamuni kma mtaepusha shari/ Mnakumbuka juu ya maamuzi ya busara ya Ml.Nyerere juu ya vyama vingi baada ya referendum/
  5. M

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Gwajima ni MZIZI.... Hatuwezi kukaa kimywa mambo ya kishetani yanafanywa na mtu anayetuaminisha kuwa yeye ndiye tunayeweza kumsikiliza na akatuongoza. Emezini na mke wa mtu kamtengenezea zengwe ili kupoteza ushahidi.. Mungu wa kweli hata siku moja hawezi kuyafumbia macho mabo hayo.. Emma...
  6. M

    Eneo linauzwa kibaha kwa mathias

    Kaishia mitini.... Funguka ili tujue tunahitaji ardhi.
  7. M

    Hekari 5 zinatakiwa kununuliwa

    Zinatakiwa Herari 5, kwa ajili ya shughuli za ufugaji wa samaki. ziwe mita tati ya 500 mpata 100 toka mto Ruvu Upande wa Mlandizi kabla ya kufika Mlandizi. Kuwe na uwezekano wa kufikika bila karaha ya njia. Kama zipo niPM
  8. M

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    Habari nzuri sana hii. Intertek International Tanzania wako pale kurasini nyma ya chuo cha Diplomasia kuna barabara ya rami inakwenda Uhamiaji kama mita 100 kushoto mkabala na Kanisa la RC wana maabara pale na wamekuja na product moja inaitwa Precision Farming. wanatest Soil kwa dolla $ 7 tu...
  9. M

    Pikipiki Cruiser mbili zinauzwa bei poa

    MiMI NAZITAKA LAKINI KWA 700,000/= KILA MOJA.. NIKUPIGIE?
  10. M

    Picha: Hali ya Muhimbili kwa sasa inatisha

    Wana lumumba mbona mmekaa kimywa?.....
  11. M

    Jenista Mhagama Aanguka

    Mimi nilikuwa haop, ni kweli dada yetu alianguka, sasa kama ilikuwa ni ngoma au ni kweli ulikuwa mweleka kama ile mieleka ya brother kma kawaida ya kampeni zetu kwa kweli sijui lakini kuanguka alianguka.
  12. M

    Kontena la futi 40 lililosheheni meno ya tembo lakamatwa Unguja!

    Tuanze kuwaondoa mmoja mmoja na sisi. Kimyakimya. Hili ni janga tukisubiri serikali twafwa....
  13. M

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Mwenye kuwa na Habari za uhakika atujuze juu ya kupigwa risasikwa mtangazaji wa ITV Ufoo saro tafadhari atujuze.
  14. M

    Magufuri ulisahau kuwa mke mkorofi dawa yake ni kuoa wa pili si kumfukuza

    Ni kweli Magufuli anaweza kuwa hakutafiti kwa kina juu ya athari za uamuzi wake wa kuondoa hiyo 5% lakini jamani Mnyonge Mnyongeni hakiyake mpeni... Sote twajua juu ya utendaji wa Magufuli, Hajawahi pewa Wizara, isibadilike katika ufanisi. Hajawahi pewa Wizara isiongeze tija katika shghuli...
  15. M

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Jamani, Mwalimu alifanya kile alichoweza kwa wakati wake na kwa kweli, kama si misingi thabiti aliyoiweka mwalimu leo hii jeuri tuliyo nayo humu ndani ya JF labda kwa baadhi yetu ingekuwa hadithi. Mimi nafikiri kosa amabalo mwalimu alilifanya ni kuchelewa kuruhusu uwepo wa vyama vingi na...
Back
Top Bottom