Eneo lnauzwa..lina ukubwa wa
robo 3 accre..
Location.. kibaha kwa mathias
3km frm morogoro road...
Eneo lipo karbu na huduma zte za
kjamii yaan umeme,maji,hospital
na zngne nyingi tu..
Price...Tsh 9.5mil...
Mawasiliano:0767879784.
wote karibuni...
Aisee km 3 haitimii eka mil 9.5? Ardhi imekuwa kiini macho. Kwa Mathias napapata. Je eneo liko upande gani wa main road. Jina maarufu kwenye eneo ni nini? panafikika kwa gari?