Msimamo wa UKAWA wazidi kuwa mkali!

Msimamo wa UKAWA wazidi kuwa mkali!

Lkini Jamani ccm kwani mkiwasikiliza hao ukawa na kukubali yaliyo yao kwa uchache hamuni kma mtaepusha shari/ Mnakumbuka juu ya maamuzi ya busara ya Ml.Nyerere juu ya vyama vingi baada ya referendum/
 
Ukawa mnatakiwa kuwa na msimamo usiotetereka maana nyie ndio mko sahihi,na kupoteza maoni ya wananchi ni kushindwa mpaka kwenye uchaguzi ujao.Issue ni maoni ya wananchi kuwa first.mkiwa wamoja ni rahisi sana kushinda ccm.maana wananchi wako upande wenu.mjue hatutaki serikali 2 sisi ni TATU kwa kifupi ccm waelewe watanganyika wanadai nchi yao ya asili inayoitwa TANGANYIKA.
 
Hakuana rasimu ya Warioba, hakuna bunge la katiba, ni ubakaji wa mamlaka ya wananchi.
Hii ikowazi kiongozi,bila rasimu ya wananchi kujadiliwa ni ndoto kuipata katiba waitakayo.Niusaliti kwa waumini wa demokrasia!
 
Kuijadili Rasimu ya Warioba ni na ikakubalika ndio KIFO cha hao MaCCM, ndio maana wapo tayari kupoteza kila kilicho chetu na chao ili kufanya wayatakauo. Na kwa hakika CCM ikifa itakufa kifo kibaya sannnaaaaa na cha AIBU ambacho hajawahi kufa kiumbe chochote Duniani

Wanapeleka muda mbele tu lkn kifo kiko palepale
 
UKAWA yenye chadema haiwezi kuwa na la maana hata siku moja. Cdm watashawish mgongano hadi kieleweke
 
Back
Top Bottom