Ukitaka mwanamke mkamilifu asiyedati na mwanaume Fanya hivi chukua udongo finyangaki kwa umbo na uzuri unaoutaka kisha pulizia pumzi yako uone kama ni kitu rahisi ....wenzio wanaowa makahaba na swari tu sembuse huyo
Kitendo cha tume ya uchaguzi kuonya hao wakurugenzi ni suluhisho moja wapo la majibu ya hoja za kususia uchaguzi kwa chadema
Ukiwa na akili sawa sawa utajua sio kila chakula unasusia vingine havisusiwi
Na kwa Serikali hii ukisuburi irekebishe mambo yote yawe sawa ni sawa nakungoja shetani awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.