Yanayompata Lowassa liwe ni funzo kwa wanaompongeza Rais Magufuli

Yanayompata Edward Lowassa liwe ni funzo zuri kwa wale wanadhani wanaweza kupongeza juhudi za serikali au Rais Magufuli na kubaki salama ndani ya CHADEMA/upinzani.

Wanaomshambulia Lowassa ndio hawa hawa kila siku wanatuamisha kuwa wanapigania uhuru wa kutoa mawazo (Freedom of speech) hata kama hukubaliani nayo. Hawa ni kama simba ndani ya ngozi ya kondoo!

Well put, well put..
 
Ni nani alikuambia ni lazima rais apongezwe?
Rais anatekeleza wajibu wake kikatiba suala la kumpongeza ni jambo la hisani,inafahamika wazi kiu ya CCM kutaka pongezi nyuma ya pazia kuna janga dhidi ya wapinzani.
Kama hii ni hoja yako, kwa hiyo kwa macho ya baadhi ya viongozi wa juu CHADEMA ni kosa kutoa pongezi kwa serikali?
 
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijiuliza bila kupata majibu sahihi kuhusu dhana ya baadhi ya madiwani na wabunge kuhama CHADEMA/upinzani na kujiunga CCM ili kuunga mkono juhudi za serikali ya Rais Magufuli au kumpongeza kwa juhudi zake.

Kinachompata Edward Lowassa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa CHADEMA wakisaidiwa na manazi wake baada ya kupongeza juhudi za Rais Magufuli ni jibu linalojitoshereza kuhusu sababu za madiwani na wabunge kuhama kutoka CHADEMA/upinzani kabla ya kuunga juhudi za serikali ya Rais Magufuli.

Edward Lowassa ambaye baadhi ya viongozi wakuu wa CHADEMA/upinzani walikuwa wanatuambia amewasaidia kuwapatia wabunge zaidi ya 110 na maelfu ya madiwani ameshambuliwa kwa maneno ya kejeli na dharau huku wengine wakienda mbali zaidi na kudai aitwe kwenye Kikao cha juu cha CHADEMA ili ahojiwe. Kosa lake ni kuainisha mafanikio ya serikali ya awamu ya tano!

Jaribu kufikiria kama diwani au mbunge wa kawaida angefanya aliyoyafanya Edward Lowassa ya kukutana na Rais Magufuli na kupongeza kazi zake. Nina uhakika angefukuzwa uanachama mara moja na kupoteza udiwani au ubunge au angetengwa na kuitwa msaliti.

Kwa Lowassa hawataweza kutoa onyo au kumfukuza Lowassa mara moja kwa sababu ya pesa aliyowekeza kwa wenye CHADEMA na badala yake wanabaki kulalamika kwenye vyombo vya habari na mitandao kwa kutumia mawakala wao.

Wanachama wanaoifahamu vizuri CHADEMA wanajua kuwa ndani ya CHADEMA kuna wenye CHADEMA na watumishi wa CHADEMA wasio na mkataba.

Yaliyomtokea Diwani wa viti maalum CHADEMA jimbo la Tarime vijijini, Mh Philomena Tontora baada ya kuhudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli ilikuwa ni ishara tosherezi kuwa kama unataka kufukuzwa uanachama wa CHADEMA toa pongezi kwa Rais Magufuli na serikali yake.

Kwa wale wasiofahamu yaliyompata Diwani wa Viti Maalum wa CHADEMA wanaweza kusoma hii thread;
LINK>>Kufilisika kisiasa kwa CHADEMA: Wanataka kumfukuza diwani aliyehudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli

Yanayompata Edward Lowassa liwe ni funzo zuri kwa wale wanadhani wanaweza kupongeza juhudi za serikali au Rais Magufuli na kubaki salama ndani ya CHADEMA/upinzani.

Wanaomshambulia Lowassa ndio hawa hawa kila siku wanatuamisha kuwa wanapigania uhuru wa kutoa mawazo (Freedom of speech) hata kama hukubaliani nayo. Hawa ni kama simba ndani ya ngozi ya kondoo!
Ndio mwisho wa akili yako ...haya subiri uteuzi
 
Well said. Chadema wanajiita watetezi wa demokrasia wakati chamani mwao wanaikanyaga tu tena bila wote; wakati huo wanategemea sisi tuwaamini kuwa na watetezi wetu. Hell, no!
 
..nimeongeza wigo wa mjadala.
Oh! Kumbe basi naomba tuende ndani zaidi kwenye huo wigo. Kuhusu kura za meya msaidizi wa Dar sikusikia tamko kutoka kwa mwenyekiti wa CCM. Lakini hili la Lowassa tumeona ubinywaji wa uhuru ndani ya CDM yaani mwenyekiti anatoa tamko na kunyima uhuru wa viongozi ndani ya chama. Ndani ya CCM tunaona uhuru mkubwa. Mf makamu wa rais kumsalimia TL. Na mengine mengi tu. Je wewe unajambo lenye mashiko kabisa kutoka chadema?
 
Ina maana watz wote tumekuwa mbumbumbu kiasi hiki? Upinzani unauliwa kwa njia yoyote. Hata kama ningekuwa mimi na serikali inataka kunifilisi kisa tu ni mpinzani, lazima nitahama tu nakutoa pongezi kwenye hamnako. Chekecha akili utajua nani ni tatizo kati ya wanao hama au watawala
 
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijiuliza bila kupata majibu sahihi kuhusu dhana ya baadhi ya madiwani na wabunge kuhama CHADEMA/upinzani na kujiunga CCM ili kuunga mkono juhudi za serikali ya Rais Magufuli au kumpongeza kwa juhudi zake.

Kinachompata Edward Lowassa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa CHADEMA wakisaidiwa na manazi wake baada ya kupongeza juhudi za Rais Magufuli ni jibu linalojitoshereza kuhusu sababu za madiwani na wabunge kuhama kutoka CHADEMA/upinzani kabla ya kuunga juhudi za serikali ya Rais Magufuli.

Edward Lowassa ambaye baadhi ya viongozi wakuu wa CHADEMA/upinzani walikuwa wanatuambia amewasaidia kuwapatia wabunge zaidi ya 110 na maelfu ya madiwani ameshambuliwa kwa maneno ya kejeli na dharau huku wengine wakienda mbali zaidi na kudai aitwe kwenye Kikao cha juu cha CHADEMA ili ahojiwe. Kosa lake ni kuainisha mafanikio ya serikali ya awamu ya tano!

Jaribu kufikiria kama diwani au mbunge wa kawaida angefanya aliyoyafanya Edward Lowassa ya kukutana na Rais Magufuli na kupongeza kazi zake. Nina uhakika angefukuzwa uanachama mara moja na kupoteza udiwani au ubunge au angetengwa na kuitwa msaliti.

Kwa Lowassa hawataweza kutoa onyo au kumfukuza Lowassa mara moja kwa sababu ya pesa aliyowekeza kwa wenye CHADEMA na badala yake wanabaki kulalamika kwenye vyombo vya habari na mitandao kwa kutumia mawakala wao.

Wanachama wanaoifahamu vizuri CHADEMA wanajua kuwa ndani ya CHADEMA kuna wenye CHADEMA na watumishi wa CHADEMA wasio na mkataba.

Yaliyomtokea Diwani wa viti maalum CHADEMA jimbo la Tarime vijijini, Mh Philomena Tontora baada ya kuhudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli ilikuwa ni ishara tosherezi kuwa kama unataka kufukuzwa uanachama wa CHADEMA toa pongezi kwa Rais Magufuli na serikali yake.

Kwa wale wasiofahamu yaliyompata Diwani wa Viti Maalum wa CHADEMA wanaweza kusoma hii thread;
LINK>>Kufilisika kisiasa kwa CHADEMA: Wanataka kumfukuza diwani aliyehudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli

Yanayompata Edward Lowassa liwe ni funzo zuri kwa wale wanadhani wanaweza kupongeza juhudi za serikali au Rais Magufuli na kubaki salama ndani ya CHADEMA/upinzani.

Wanaomshambulia Lowassa ndio hawa hawa kila siku wanatuamisha kuwa wanapigania uhuru wa kutoa mawazo (Freedom of speech) hata kama hukubaliani nayo. Hawa ni kama simba ndani ya ngozi ya kondoo!
Hueleweki.
Waliofukuzwa sababu ziko wazi hata walioonywa. Hakuna mwenye hati miliki ya chadema kama ilivyo ccm.
 
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijiuliza bila kupata majibu sahihi kuhusu dhana ya baadhi ya madiwani na wabunge kuhama CHADEMA/upinzani na kujiunga CCM ili kuunga mkono juhudi za serikali ya Rais Magufuli au kumpongeza kwa juhudi zake.

Kinachompata Edward Lowassa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa CHADEMA wakisaidiwa na manazi wake baada ya kupongeza juhudi za Rais Magufuli ni jibu linalojitoshereza kuhusu sababu za madiwani na wabunge kuhama kutoka CHADEMA/upinzani kabla ya kuunga juhudi za serikali ya Rais Magufuli.

Edward Lowassa ambaye baadhi ya viongozi wakuu wa CHADEMA/upinzani walikuwa wanatuambia amewasaidia kuwapatia wabunge zaidi ya 110 na maelfu ya madiwani ameshambuliwa kwa maneno ya kejeli na dharau huku wengine wakienda mbali zaidi na kudai aitwe kwenye Kikao cha juu cha CHADEMA ili ahojiwe. Kosa lake ni kuainisha mafanikio ya serikali ya awamu ya tano!

Jaribu kufikiria kama diwani au mbunge wa kawaida angefanya aliyoyafanya Edward Lowassa ya kukutana na Rais Magufuli na kupongeza kazi zake. Nina uhakika angefukuzwa uanachama mara moja na kupoteza udiwani au ubunge au angetengwa na kuitwa msaliti.

Kwa Lowassa hawataweza kutoa onyo au kumfukuza Lowassa mara moja kwa sababu ya pesa aliyowekeza kwa wenye CHADEMA na badala yake wanabaki kulalamika kwenye vyombo vya habari na mitandao kwa kutumia mawakala wao.

Wanachama wanaoifahamu vizuri CHADEMA wanajua kuwa ndani ya CHADEMA kuna wenye CHADEMA na watumishi wa CHADEMA wasio na mkataba.

Yaliyomtokea Diwani wa viti maalum CHADEMA jimbo la Tarime vijijini, Mh Philomena Tontora baada ya kuhudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli ilikuwa ni ishara tosherezi kuwa kama unataka kufukuzwa uanachama wa CHADEMA toa pongezi kwa Rais Magufuli na serikali yake.

Kwa wale wasiofahamu yaliyompata Diwani wa Viti Maalum wa CHADEMA wanaweza kusoma hii thread;
LINK>>Kufilisika kisiasa kwa CHADEMA: Wanataka kumfukuza diwani aliyehudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli

Yanayompata Edward Lowassa liwe ni funzo zuri kwa wale wanadhani wanaweza kupongeza juhudi za serikali au Rais Magufuli na kubaki salama ndani ya CHADEMA/upinzani.

Wanaomshambulia Lowassa ndio hawa hawa kila siku wanatuamisha kuwa wanapigania uhuru wa kutoa mawazo (Freedom of speech) hata kama hukubaliani nayo. Hawa ni kama simba ndani ya ngozi ya kondoo!
aya sasa na wale waliosema chama kitawafukuza wabunge wake watakao kwenda kumwona mbunge wa Arusha mjini alipokuwa mahabusu.

au

mbunge atakayekwenda kumpa pole my. tundu lisu hospitali
 
Inabidi kabla ya kupongeza wawe wanatoka kwanza, nilikuwa sijawaelewa hao madiwani na wabunge waliojitoa kumbe wanawajua wakuu wao.

Kwa haraka haraka ukisikiliza hiyo hadithi ya upande mmoja unaweza kuamini kabisa kwamba cdm hawako tayari mtu kumuunga mkono rais Magufuli. Na iwapo utaamua kuishia na kufanya hitimisho basi utawaona cdm ni chama cha kijinga sana kwa hicho wanachofanya. Ni dhahiri cdm ni wapinzani wa ccm kisiasa, lakini aina ya siasa zinazoendeshwa na awamu hii ya tano kwao siasa ni uadui, na uadui wao uko dhidi ya cdm na hiki ni kitu kilichopandikizwa na rais mwenyewe.

Mh. Lema aliwekwa magereza kwa kile kilicho wazi kwamba ilikuwa maagizo toka juu, na juu panafahamika ni wapi. Wabunge wenzake walio katika kamati ya bunge toka ccm walitaka kwenda kumsalimia, walipata ujumbe toka huko huko juu kwamba kwenda kumsalimia Lema ni usaliti. Hayakuishia hapo, wapinzani hata huko bungeni imetoka amri ya nyuma ya pazia na mbele ya hadhara kwamba washughulikiwe ndani ya bunge na hata nje ya bunge. Na mtoa amri zote hizo anafahamika. Ikatokea Tundu Lissu kapigwa risasi, hakuna mbunge yoyote wa ccm aliyethubutu na aliyethubutu ambaye ni Nyalandu yakamkuta. Spika hajaenda wala wasaidizi wake. Leo kunaletwa maelezo ya upande mmoja ili kupotosha umma kwamba wapinzani wanazuia rais kusifiwa. Lakini ukiangalia sababu yote ya uhasama huu ni rais huyo huyo anayetetewa leo kwa utetezi wa upande mmoja.

Kilichofanyika jana kwa safari ya Lowassa imetajwa kama ya kibinafsi, lakini imetumika kutaka kuonyesha kwamba Lowassa alibeba ujumbe wa wapinzani kitu ambacho si kweli. Hakuna mpinzani anayepinga Lowassa kwenda ikulu, akitaka ahamie hata na familia yake hakuna mwenye shida, lakini mambo yake binafsi yasitumike kama muwakilishi wa wapinzani. Inafahamika wapinzani wana ajenda na malalamiko yao mengi dhidi ya rais huyu. Inasemekana Lowassa aliongea mambo mengi lakini hayajawekwa wazi bali ya kumsifia ndio yamewekwa wazi. Ifahamike Lowassa aliikuta cdm ikiwa taasisi imara, idadi ya wabunge na madiwani waliopatikana sio kwa juhudi za Lowassa maana cdm hakikuwa chama kipya alichoanzisha yeye. Pia naweza kusema Lowassa sio mpinzani bali alikuja upinzani akaelewana na viongozi wachache kwa vipande 30 vya fedha ili apate nafasi ya kugombea urais.

Wanacdm wengi tunaamini ujio wa Lowassa ulipunguza wingi wa kura, idadi ya madiwani na wabunge iliostahiki kupata kutokana na taswira yake mbaya mbele ya jamii. Na tunasema hata baada ya uchaguzi Lowassa hajawahi kutoa mchango wowote wa maana kwa chama. Kama kuna mtu anamtetea aonyeshe hata ofisi ya room 5 aliyojenga tujue kweli alikuja kuinyanyua cdm. Hakuna mwanacdm anayemtukana Lowassa, tunaomba upotoshwaji huo uachwe mara moja bali tunasema Lowassa alienda ikulu kwa mambo yake binafsi na sio ajenda za chama. Na pia tunapenda kusema kwamba Lowassa ndio alileta kura nyingi, wabunge na madiwani wengi sio kweli kwani cdm ilikuwa na mpango kazi wake wa 2010-2015 wa ondoa ccm, ambao Lowassa hakushiriki na matokea ya hiyo 2015 ilikuwa ni matunda ya operation hizo. Asipewe sifa ambazo sio zake.

CC: msemajiukweli, misuli, thetallest, kipara kipya, jingalao
 
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijiuliza bila kupata majibu sahihi kuhusu dhana ya baadhi ya madiwani na wabunge kuhama CHADEMA/upinzani na kujiunga CCM ili kuunga mkono juhudi za serikali ya Rais Magufuli au kumpongeza kwa juhudi zake.

Kinachompata Edward Lowassa kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa CHADEMA wakisaidiwa na manazi wake baada ya kupongeza juhudi za Rais Magufuli ni jibu linalojitoshereza kuhusu sababu za madiwani na wabunge kuhama kutoka CHADEMA/upinzani kabla ya kuunga juhudi za serikali ya Rais Magufuli.

Edward Lowassa ambaye baadhi ya viongozi wakuu wa CHADEMA/upinzani walikuwa wanatuambia amewasaidia kuwapatia wabunge zaidi ya 110 na maelfu ya madiwani ameshambuliwa kwa maneno ya kejeli na dharau huku wengine wakienda mbali zaidi na kudai aitwe kwenye Kikao cha juu cha CHADEMA ili ahojiwe. Kosa lake ni kuainisha mafanikio ya serikali ya awamu ya tano!

Jaribu kufikiria kama diwani au mbunge wa kawaida angefanya aliyoyafanya Edward Lowassa ya kukutana na Rais Magufuli na kupongeza kazi zake. Nina uhakika angefukuzwa uanachama mara moja na kupoteza udiwani au ubunge au angetengwa na kuitwa msaliti.

Kwa Lowassa hawataweza kutoa onyo au kumfukuza Lowassa mara moja kwa sababu ya pesa aliyowekeza kwa wenye CHADEMA na badala yake wanabaki kulalamika kwenye vyombo vya habari na mitandao kwa kutumia mawakala wao.

Wanachama wanaoifahamu vizuri CHADEMA wanajua kuwa ndani ya CHADEMA kuna wenye CHADEMA na watumishi wa CHADEMA wasio na mkataba.

Yaliyomtokea Diwani wa viti maalum CHADEMA jimbo la Tarime vijijini, Mh Philomena Tontora baada ya kuhudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli ilikuwa ni ishara tosherezi kuwa kama unataka kufukuzwa uanachama wa CHADEMA toa pongezi kwa Rais Magufuli na serikali yake.

Kwa wale wasiofahamu yaliyompata Diwani wa Viti Maalum wa CHADEMA wanaweza kusoma hii thread;
LINK>>Kufilisika kisiasa kwa CHADEMA: Wanataka kumfukuza diwani aliyehudhuria maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli

Yanayompata Edward Lowassa liwe ni funzo zuri kwa wale wanadhani wanaweza kupongeza juhudi za serikali au Rais Magufuli na kubaki salama ndani ya CHADEMA/upinzani.

Wanaomshambulia Lowassa ndio hawa hawa kila siku wanatuamisha kuwa wanapigania uhuru wa kutoa mawazo (Freedom of speech) hata kama hukubaliani nayo. Kwa haya wanayomfanyia Lowassa siwezi kuwatofautisha na simba ndani ya ngozi ya kondoo kwenye kelele zao za kutaka uhuru wa kutoa mawazo!
Huu unafiki ndiyo unaoliangamiza Taifa la Tanzania.
Wakati Magufuli anakataza wanaccm hata kusalimia mgonjwa wa Chadema ulishangilia. Leo unawaona haohao ambao hata kusalimiana mnazuiwa ni wajinga.
Ni jambo baya sana kuwa mjinga ukubwani wakati hukuzaliwa hivyo.
Sasa ndiyo nimeelewa kwa nini Rais Magufuli kila siku anasema ni Rais wa maskini.
Usiwabebeshe watu mizigo vichwani mwao ambayo Mungu hakuwaumbia, please......
 
Oh! Kumbe basi naomba tuende ndani zaidi kwenye huo wigo. Kuhusu kura za meya msaidizi wa Dar sikusikia tamko kutoka kwa mwenyekiti wa CCM. Lakini hili la Lowassa tumeona ubinywaji wa uhuru ndani ya CDM yaani mwenyekiti anatoa tamko na kunyima uhuru wa viongozi ndani ya chama. Ndani ya CCM tunaona uhuru mkubwa. Mf makamu wa rais kumsalimia TL. Na mengine mengi tu. Je wewe unajambo lenye mashiko kabisa kutoka chadema?

Mzee Annael kwanza shikamoo, Makamu wa rais alienda kwenye sherehe za kuapishwa rais wa Kenya hiyo ndio iliyokuwa safari yake ya msingi na wala hakufunga safari ya kwenda kumuona Lissu. Alipokuwa kule, aidha aliguswa, au aliona aibu hili anajua yeye, ndio akaamua kwenda kumsalimu Tundu Lissu. CCM msitafute sifa kwa torch mchana wa jua kali. Kama kuna sifa zenye mashiko wala msingepata shida kuokoteza okoteza.
 
..mbona CCM wanamsaka diwani wao aliyempigia kura Ukawa ktk uchaguzi wa Naibu Meya wa Dsm?
Mkuu;
Vijana wa siku hizi nawasikia wana msemo usemao, ''umechanganya madesa''.

Masuala ya kura katika bunge au mabaraza ya madiwani huongozwa na party caucus.

Vyama hukubaliana masuala ya kupigia kura baada ya mjadala ndani ya caucus. Ndio maana unaweza kuona wabunge wa CCM wanaikosoa sana serikali lakini linapofika suala la kupiga kura, hupiga kura kulingana na maamuzi ya caucus.

Kama madiwani wa CCM walijadili na kufikia uamuzi wa kupeleka mgombea wao wa udiwani ili akapigiwe kura halafu kuna baadhi ya wengine hawakufanya hivyo, basi ni lazima waulizwe sababu ya kutopiga kura wakati walikubaliana wote. Hili ni suala la kawaida sana hata kwenye nchi zilizoendelea.
 
Back
Top Bottom