Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Rais wa nchi hii ni wa CCM, Baraza la mawaziri ni la CCM, halmashauri ya Kinondoni iko chini ya CCM, hakuna haja ya kuchagua mbunge ama diwani wa CHADEMA ama CUF kwa sababu hakuna uwezekano wowote wa serikali ya CCM kutoa ushirikiano kwa watu ambao hawatokani na chama cha CCM, hapa Tandale diwani wenu ni wa Upinzani muulizeni alichowafanyia cha maana ni kipi: Kheri James@Tandale#Kampeni za ubunge Kinondoni
[HASHTAG]#DARMPYABLOGUPDATES[/HASHTAG]
Hivi ina maana nchi hii wanaolipa kodi ni CCM tu?
[HASHTAG]#DARMPYABLOGUPDATES[/HASHTAG]
Hivi ina maana nchi hii wanaolipa kodi ni CCM tu?