Recent content by moekhitaryan

  1. moekhitaryan

    Wanaume kuogopa wanawake

    mi siwezi kukuogopa hata uwe milionaire sema kuishi kwako siwez! bora tupangishe hiyo nyumba ili tuanze kuhustle pamoja
  2. moekhitaryan

    Mafua ya kuku

    .
  3. moekhitaryan

    Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

    hili ni jukwaa la hayo mapenzi! vitu vipya vinamajukwaa yake hko!
  4. moekhitaryan

    Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

    pole saana kaka maumivu yako yanajua! keep going,kuwa karibu na mungu utamsahau tu
  5. moekhitaryan

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    so sorry! trust me muda unakuja utapata mwenza,utaolewa na utakuwa na furaha saana mpaka utajiuliza alikuwa wap muda wote! kikubwa muombe mungu sasa, inatakiwa umpate mungu kwanza kabla ya kumpata mpenzi mwingine,kwan hakuna raha kama kuwa ndan ya mungu!
  6. moekhitaryan

    Mke mwema mtarajiwa hapokei simu zangu, kwanini?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom