eretzisrael
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 331
- 476
Habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 22 nina tatizo moja, am so poor in socialization, nikienda mahali nakua mkimya sana hadi niwazoee sana ndo nitaanza kuchangamka, tatizo hili limefanya baadhi ya watu wadhani labda nina dharau au kiburi, nifanyeje kutatua tatizo hili.
Natanguliza shukrani
Mimi ni kijana wa miaka 22 nina tatizo moja, am so poor in socialization, nikienda mahali nakua mkimya sana hadi niwazoee sana ndo nitaanza kuchangamka, tatizo hili limefanya baadhi ya watu wadhani labda nina dharau au kiburi, nifanyeje kutatua tatizo hili.
Natanguliza shukrani