Recent content by modavid

  1. modavid

    Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

    Viingilio vyetu watulipe na fidia , sisi sio wanyonge
  2. modavid

    Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

    Hapo ndio watakua kama wahutu na watutsi kwetu Rwanda. Watareta genocide na kibaya zaidi wanazidiana nguvu na maarifa.
  3. modavid

    Waswahili wengi hawaaminiki kwenye ajira

    Ukipata kazi ni rahisi sana duambiwa kuna kazi nyingine za kufanya , usipotuliza akili utayumbishwa na watu
  4. modavid

    JamiiForums Usiku wa manane

    Tupo nyuma ya Bongo 1hour
  5. modavid

    JamiiForums Usiku wa manane

    01:02 Lusaka Zambia
  6. modavid

    Nilikabidhi mafundi ujenzi kazi pamoja na funguo nilipofika kule kwa kushtukiza nikakuta mipira ya condom iliyotumika ndani

    Sasa kuna shida gani hapo !? Hapo kazi ilienda vizuri ,yaani kazi na dawa.
  7. modavid

    Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

    Hata na leo kua na mke mmoja ni uvivu na uoga wa maisha
Back
Top Bottom