Hapo ndipo wanaume mnapofeli aisee...unamsomeshaje mchumba? ambaye si ajabu hata wazazi wake hawakujui🤣🤣
Ni kama mwanamke anaenda kupika, kudeki,kufua nguo kuanzia za mchumba wake mpaka shemeji mtarajiwa...lazima ulie baadae.
Sasa mtoa mada wewe inakuuma mali zako kuchukua mke wako/ mume wako? Ulitaka achukue nani sasa? Mama/ shangazi/ mjomba/ kimada?????
Huyo mke ambaye wewe unalalamika kushare nae mali zako ndo huyohuyo ambaye anakufanyia mambo ambayo mama/ shangazi hawezi kukufanyia. Mke anaenda zaidi ya pale...
Maisha hayana SI unit wala hayana Script..
Ukisema umewahi/ umechelewa maisha unatumia kipimo gani? Mfano, Kama muda wa kufika ofisini ni saa 2 asubuhi, nikifika saa mbili nanusu asubuhi nitasema nimechelewa and vice versa is true. Sasa kwenye maisha hakuna kipimo kama hiko.
Hii nadharia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.