Je, ulishawahi penda hivi?

Je, ulishawahi penda hivi?

Me nahisi nina kwama sehemu
Kuna demu nilimfukuzia toka 2015 kaja kukubali 2019
 
Ndio nilishawahi....kipindi sijajua ubaharia....yule demu wangu wa kwanza aliyenibikiri...heheheee.....nilikaa mwaka mzma sielewi A wala B.

Daaaaaahhh.....saiv nishaacha kupenda penda ovyo...nakula papuchi tu ....then mbeleeee
 
Nimeshawahi kupenda kiasi hiko lakini sikuwa kiziwi wala kipofu

Namkumbuka hadi muda huu japo nina mwaka wa tatu tangu aniache na bado anafight turudiane lakini siji kuthubutu kurudiana nae
 
Nimeshawahi kupenda kiasi hiko lakini sikuwa kiziwi wala kipofu

Namkumbuka hadi muda huu japo nina mwaka wa tatu tangu aniache na bado anafight turudiane lakini siji kuthubutu kurudiana nae
Yeye ndio alikukosea?
 
Ndio nilishawahi....kipindi sijajua ubaharia....yule demu wangu wa kwanza aliyenibikiri...heheheee.....nilikaa mwaka mzma sielewi A wala B.

Daaaaaahhh.....saiv nishaacha kupenda penda ovyo...nakula papuchi tu ....then mbeleeee
Ila kuwa makini kuna magonjwa.
 
Back
Top Bottom