Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Sio Policcm pekee Bali hata ofisi ya mwendesha mashtaka wa serikali ni bure kabisa maana wao ndio wanajiridhisha kwanza na mashtaka na Ku frame charge.Masikini Policcm wanafungua kesi hata hawajui wanafungua ya nini, ina husu nani na wapi, hawajui tofauti ya Jamii Media na Jamii forums, wala hawajui walichofungulia kesi ni jamii forums au jamii forum.
Aibu sana hii.
Sasa kundi zima lililopo huko hizo LLB zao ni za kuangulia madafu au kusongea ugali?
Au hizo digrii wanasomea Kaole?