Hivi huko kwenu wanawake wengi sana?
Vipi hali ya sasa wanawake wapo kweli?
Wanaume mnawafanya nini wanawake?
Maana hawa wadada wa huko wamekuwa gumzo mikoa mingi huu mkoa wa tanoLeo nawakuta maeneo yao Pub, Grocery, Bar Night Clubs. Na niamsha amsha hatari kweli maeneo hayo,
Maswali ni hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.