Recent content by Mo Genius

  1. Mo Genius

    Edo Kumwembe: Wakati mwingine tunalazimika kudanganya kwa ajili ya kuokoa aibu ya Taifa

    Watu wanakwambia Mungu aje magogoni amshukuru Rais wewe unaongelea ilo Tanzania iko na maajabu ya kipekee.
  2. Mo Genius

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Vikosi hivyo
  3. Mo Genius

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ferminho tayari uku leo wanapigwa mkono
  4. Mo Genius

    Kauli za Rais Magufuli akiongea na wananchi Njombe leo

    Kumbe Tanzania haijavuka? Nakumbuka kuna watu walisema hivyo 2015 wakaitwa Malofa[emoji16][emoji16][emoji16]
  5. Mo Genius

    Isabella Mpanda aingilia penzi la JUX na VANESSA

    Vanessa Mpare Kilimanjaro.
  6. Mo Genius

    CHADEMA yazidi kusambaratika. Ngome yake Kalenga yatikisika

    Naona mzee Pinda duh kachoka balaa.
  7. Mo Genius

    Isabella Mpanda aingilia penzi la JUX na VANESSA

    Upuuzi kumuacha vannesa mtoto wa kitajiri na kuruka na hii malaya
  8. Mo Genius

    Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

    Ongeza wakina Cab snoop, Dj Snake mafiki zolo, na makilikili mbona walisumbua sana aisee?.. Mziki ni merodi sio lugha hata mimi naungana na wewe Sema diamond anachozidiwa ni management wanageria wengi wanaishi Marekani na wanageria ndio taifa linaloongoza kuwa na watu wengi nje ya Africa kuliko...
  9. Mo Genius

    Askofu Mwamakula: Mheshimiwa Rais asipewe utukufu wa Mungu!

    Yaani binadamu anamwabudu binadamu mwingine Only in Tanzania
  10. Mo Genius

    Benjamin William Mkapa atoa ya moyoni kuhusu uongozi wa Rais Magufuli!

    Maendeleo yapi haya ya wizi wa pesa za umma 2.4 trion na makontena ya Bashite kukwama bandalini na kutolewa kinyemela na kuuzwa? Au maendelea ya kukamata vijana mtaani kisa vitambulisho fake vya elfu 20? Ni mpuuzi pekee ndiye anayeweza kusema jamaa analeta maendeleo.
  11. Mo Genius

    Ijue kiufupi Rwinga na sababu ya Rais kutosimama Rwinga

    Na anavyopaniki akiulizwa swali anamuweka mtu ndani
  12. Mo Genius

    Benjamin William Mkapa atoa ya moyoni kuhusu uongozi wa Rais Magufuli!

    Utoto, Udini, Urafiki, Kuogopana na kulindana Laana ya kuwaua wapemba mwaka 2000 na kuiba pesa za umma na Kuwapa watu kesi kama alivyofanya kwa Generali Ulimwengu na utata wa kifo cha baba wa Taifa hizi tuhuma zitamtafuna milele.
  13. Mo Genius

    Kimeo

    Daaah uyo kimeo kweli duh mwanaume akojoa kitandani njozi sijui anakuwa anaota? .. Sister una vituko wewe duh aya bwana .
  14. Mo Genius

    ACT Wazalendo wasalimu amri kwa Polisi, wasitisha maandamano

    Bongo bado sana police nani anawapa mamlaka ya kuzuia mikutano na Maandamano?
Back
Top Bottom