Kawaida asilimia ya kura huwa inatazamwa toka kura halali (VALID VOTES) na si kura zilizopigwa(TOTAL VOTES) . Maana yake ni kwamba Dr Shein ana kura 299,982 Kati ya kura halali 328,327(valid votes) na si 299,982 kati ya kura 341,865(total votes) kwasababu asilimia inatafutwa toka kwenye Valid...
Katika hali iliyoshtua wengi, Mtangazaji wa Clouds Tv , Zamaradi Mketema, ametangaza hadharani juu ya uhusiano wa kimapenzi kati yake na "BOSS" wake Ruge Mutahaba.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Zamaradi ameweka picha inayoweka wazi Mahaba ya wawili hao, picha ambayo ilipigwa wako was eneo...
Hawa ndio Viongozi wetu ambao wanajifanya wanatupenda sana lakini wako busy kuangalia maslahi ya Familia zao na ndugu zao kwanza.
saa hizi anakula bata hotelini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.