Recent content by mnyonge wa hali ya chini

  1. mnyonge wa hali ya chini

    Sukari imeshindikana nchi hii. Ni pasua kichwa

    Hata mimi huwa nawaambia kuwa wapunguze hata matumizi ya umeme Ili kuepuka huu mgao maana huu mgao ni kutusababishia hasara tu kila siku Huo ni ushauri wa mpumbavu mmoja aliyeko mitaa ya Lumumba
  2. mnyonge wa hali ya chini

    Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe

    Kitenge na wenzake wanaonekana kutomkubali Makonda kwahiyo hao ndo wanaotafutwa. ACHA wahenyeshwe coz kwenye swala la bandari waliamua kuwa machawa wa upande fulani huku wakijua kabisa kwamba siyo sahihi.
  3. mnyonge wa hali ya chini

    Watu wanavuna pesa kupitia siasa halafu wanataka wanaojitafutia mkate wa kila siku waandamane, haiwezekani

    Na usikute mwandishi ana digrii ya chuo kikuu kabisa na jamii inamtegemea. [emoji3][emoji3][emoji3]
  4. mnyonge wa hali ya chini

    Simulizi ya kipelelezi: Document number 72 (Nyaraka namba 72)

    Asante ndugu kwa burudani hii ya kifasihi ipo vizuri sana.
  5. mnyonge wa hali ya chini

    Ni wakati sasa wa ama Che Malone au Inonga kusugua benchi

    Mwenye magoli matano ya Hangar ni goli moja tu ambalo Kapombe hakuhusika ni lile la penalti tu.
  6. mnyonge wa hali ya chini

    Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

    Mmmmh! Kwani hajakupa pesa za matunzo ya mtoto wenu kwa muda mrefu? Lakini na wewe kwanini ulikubali akakutia mimba huku ukijua kuwa hawezi kukuoa?
  7. mnyonge wa hali ya chini

    USA: Kuna wamarekani wanashikiliwa mateka na HAMAS, majadiliano yanaendelea

    Ndo ivyo sasa mkipigwa mkubali kuwa hizo ni mbinu za kivita msianze kurusha picha za watoto na wanawake huku mkilalamika kuwa wameuliwa bila sababu.
  8. mnyonge wa hali ya chini

    Kwa mwendo huu wa Polisi tutabaki salama kweli?

    Samahani ni mtoto na siyo moto.
  9. mnyonge wa hali ya chini

    Kwa mwendo huu wa Polisi tutabaki salama kweli?

    POLISI? Sina Imani hata kidogo dhidi ya hili jeshi Mwenyezi Mungu tu anisamehe, mwaka juzi moto wangu wa miaka miwili alibakwa na watuhumiwa walikamatwa cha ajabu polisi waliniambia eti kama nataka kesi yangu iwe na nguvu niwe natoa maji eti nisiwe mgumu.
  10. mnyonge wa hali ya chini

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Kwani alivyosema kuwa mpaka weekend wewe ulikubali? Hapa mpaka Jumanne ya keshokutwa.
  11. mnyonge wa hali ya chini

    Msaada kwa wenye ufahamu

    Je, kuna faida gani kwa mwalimu wa primary mwenye certificate kusomea diploma in primary Education? Wakuu mimi siyo mwalimu lakini mke wangu ni mwalimu wa primary sasa anataka kwenda kusoma diploma in primary ninaomba kujuzwa faida zake kabla sijatumia fedha zangu bila kujua faida zake. Maana...
Back
Top Bottom