Cha kusikitisha ni kwamba hata Maduro alikuwa na wafuasi tena wengi sana.
Lakini ukiangalia idadi ya raia walioingia barabarani kushangilia anguko la huyo Maduro unabaki kushangaa tu.
Hata mimi huwa nawaambia kuwa wapunguze hata matumizi ya umeme Ili kuepuka huu mgao maana huu mgao ni kutusababishia hasara tu kila siku
Huo ni ushauri wa mpumbavu mmoja aliyeko mitaa ya Lumumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.