Recent content by mnyonge wa hali ya chini

  1. mnyonge wa hali ya chini

    FT: Morocco 1-0 Tanzania | AFCON 2025 | 16 Round | Prince Moulay Stadium, Rabat | 04 January 2026| Saa 1:00 Usiku

    Mpira umeisha kwa amani sisi Tanzania kipaumbele chetu ni amani hatutaki haki.
  2. mnyonge wa hali ya chini

    John Heche: CHADEMA haiko tayari kwa Maridhiano

    Cha kusikitisha ni kwamba hata Maduro alikuwa na wafuasi tena wengi sana. Lakini ukiangalia idadi ya raia walioingia barabarani kushangilia anguko la huyo Maduro unabaki kushangaa tu.
  3. mnyonge wa hali ya chini

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Usijali tutaitumia B Usijali tutaitumia Bakwata maana ndo yenye wasomi
  4. mnyonge wa hali ya chini

    TANZIA Kevin Mbogo, mfadhili wa Jumuiya Wazazi CCM, afariki kwa ajali ya gari

    Sasa kazi ya kutiki amemwachia nani? Mbona amekuwa mzembe wa kuleft mapema kiasi hicho?
  5. mnyonge wa hali ya chini

    Imam wa Ujerumani: Ukimalizana na bikira mmoja, anayefuata atakuwa tayari kwa ajili yako. Mabikira hao hawataoneana wivu

    Aiisee!! Huyu anataka hawa jamaa waongeze kasi ya kujitoa mhanga ili wawahi hao mabikira. Kwakweli hizi akili ni hatari sana.
  6. mnyonge wa hali ya chini

    PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

    Kwahiyo na CCM yetu isajiliwe kama kukundi cha mjahidini?
  7. mnyonge wa hali ya chini

    Huruma ya Watanzania kwa viongozi wao sasa hivi ni 0%

    Kwani viongozi wenyewe wanawapenda raia wao?
  8. mnyonge wa hali ya chini

    Walimu wa Tanzania na passive resistance

    Wazifuata hela huko huko ziliko wamechoka kusemwa kuwa wao ni kundi masikini zaidi nchini.
  9. mnyonge wa hali ya chini

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Thank you man. Ikikupendeza ongeza
  10. mnyonge wa hali ya chini

    Sukari imeshindikana nchi hii. Ni pasua kichwa

    Hata mimi huwa nawaambia kuwa wapunguze hata matumizi ya umeme Ili kuepuka huu mgao maana huu mgao ni kutusababishia hasara tu kila siku Huo ni ushauri wa mpumbavu mmoja aliyeko mitaa ya Lumumba
  11. mnyonge wa hali ya chini

    Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe

    Kitenge na wenzake wanaonekana kutomkubali Makonda kwahiyo hao ndo wanaotafutwa. ACHA wahenyeshwe coz kwenye swala la bandari waliamua kuwa machawa wa upande fulani huku wakijua kabisa kwamba siyo sahihi.
Back
Top Bottom