Hata mimi huwa nawaambia kuwa wapunguze hata matumizi ya umeme Ili kuepuka huu mgao maana huu mgao ni kutusababishia hasara tu kila siku
Huo ni ushauri wa mpumbavu mmoja aliyeko mitaa ya Lumumba
Kitenge na wenzake wanaonekana kutomkubali Makonda kwahiyo hao ndo wanaotafutwa. ACHA wahenyeshwe coz kwenye swala la bandari waliamua kuwa machawa wa upande fulani huku wakijua kabisa kwamba siyo sahihi.
POLISI? Sina Imani hata kidogo dhidi ya hili jeshi Mwenyezi Mungu tu anisamehe, mwaka juzi moto wangu wa miaka miwili alibakwa na watuhumiwa walikamatwa cha ajabu polisi waliniambia eti kama nataka kesi yangu iwe na nguvu niwe natoa maji eti nisiwe mgumu.
Je, kuna faida gani kwa mwalimu wa primary mwenye certificate kusomea diploma in primary Education?
Wakuu mimi siyo mwalimu lakini mke wangu ni mwalimu wa primary sasa anataka kwenda kusoma diploma in primary ninaomba kujuzwa faida zake kabla sijatumia fedha zangu bila kujua faida zake.
Maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.