Recent content by mnyonge wa hali ya chini

  1. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Kupeleka 1.2 Trilion kwa ajili ya kuibomoa na kuijenga Muhimbili ni kumuhujumu Rais Samia

    Huyu huyu wa lita moja ya petrol ni dola elfu nane? Ndo agundue hujuma?
  2. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania FT: Morocco 1-0 Tanzania | AFCON 2025 | 16 Round | Prince Moulay Stadium, Rabat | 04 January 2026| Saa 1:00 Usiku

    Mpira umeisha kwa amani sisi Tanzania kipaumbele chetu ni amani hatutaki haki.
  3. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania John Heche: CHADEMA haiko tayari kwa Maridhiano

    Cha kusikitisha ni kwamba hata Maduro alikuwa na wafuasi tena wengi sana. Lakini ukiangalia idadi ya raia walioingia barabarani kushangilia anguko la huyo Maduro unabaki kushangaa tu.
  4. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Usijali tutaitumia B Usijali tutaitumia Bakwata maana ndo yenye wasomi
  5. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania TANZIA Kevin Mbogo, mfadhili wa Jumuiya Wazazi CCM, afariki kwa ajali ya gari

    Sasa kazi ya kutiki amemwachia nani? Mbona amekuwa mzembe wa kuleft mapema kiasi hicho?
  6. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Imam wa Ujerumani: Ukimalizana na bikira mmoja, anayefuata atakuwa tayari kwa ajili yako. Mabikira hao hawataoneana wivu

    Aiisee!! Huyu anataka hawa jamaa waongeze kasi ya kujitoa mhanga ili wawahi hao mabikira. Kwakweli hizi akili ni hatari sana.
  7. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

    Kwahiyo na CCM yetu isajiliwe kama kukundi cha mjahidini?
  8. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Huruma ya Watanzania kwa viongozi wao sasa hivi ni 0%

    Kwani viongozi wenyewe wanawapenda raia wao?
  9. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Msaada wa website nzuri ya kupaste ulr kudowload movies for free zinazokua kwenye website za kuuwatch online tu.

    Tumia SnapTube inapatikana google, Appstore wala play store haipo
  10. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Huyu Shekhe Mwaipopo anafanya Waislamu tuonekana hatuna akili

    Kwani kafanyaje tena shekhe wetu jamani?
  11. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Kwanini Waislam wa Africa hutawakuta wanapaza sauti kupinga mauaji ya waafrica wenzao wanauliwa na RSF kundi la kiarabu?

    Hao waislamu wa hapo Sudani wao hawatuletei ngamia na tende acha wafe tu.
  12. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania na passive resistance

    Wazifuata hela huko huko ziliko wamechoka kusemwa kuwa wao ni kundi masikini zaidi nchini.
  13. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Thank you man. Ikikupendeza ongeza
  14. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

    Tuko wengi sana nadhani maana hata mimi nimo.
  15. mnyonge wa hali ya chini

    JamiiForums Tanzania Sukari imeshindikana nchi hii. Ni pasua kichwa

    Hata mimi huwa nawaambia kuwa wapunguze hata matumizi ya umeme Ili kuepuka huu mgao maana huu mgao ni kutusababishia hasara tu kila siku Huo ni ushauri wa mpumbavu mmoja aliyeko mitaa ya Lumumba
Back
Top Bottom