Recent content by mnyililo

  1. M

    Je, ni Rais gani aliyependwa kuliko wote Tanzania?

    JPM Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Madai ya Zitto ya vijana wa Usalama wa Taifa kuua viongozi wa dini msikitini ni mazito sana. Ukweli ujulikane isijekuwa anataka sifa za kiha

    Kwa nini wewe hukuuliwa na wenzako waliuliwa? Tafakari Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Dark days 17/03/20...

    Huku si watafuta Tena?
  4. M

    Dark days 17/03/20...

    Mimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao. Huku upande mwingine branch...
  5. M

    Serikali: Julai 30 mwisho wa Uingizaji wa vifaranga vya Kuku nchini

    Pamoja nakuingiza vifaranga Bado havitoshi je wakizuia Hali itakuwaje? Wafanye utafiti Kwanza kabla ya kuja na matamko ambayo yataleta athari hasi
  6. M

    Dark days 17/03/20...

    Kwa hio ndo mstaafu ambae alikuwa hataki kustaafu kustafishwa?
  7. M

    Dark days 17/03/20...

    Iweke tu hapa tuisome broo
  8. M

    Dark days 17/03/20...

    Tuendelee
  9. M

    Jeshi la Polisi lasema askari aliyejinyonga alikuwa peke yake mahabusu

    Vipi kuhusu tambala la deki nalo alilitoa wapi?
  10. M

    Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

    Asante sana Bil Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu umefanya nitabasamu leo
  11. M

    Naombeni uzoefu kuhusu Wilaya ya Bagamoyo

    Karibu mkuu Bwagamoyo Niko hapa Empire sports bar Ukuni nakula supu
  12. M

    TARURA huu ni uhuni na usaliti kwa kata ya Kitunda, Mzinga na maeneo jirani

    Yaani inaboa sana,Kuna miji mingi tuu ilioanzishwa juzi juzi tuu lakini ina lami hadi vichochoroni lakini Kitunda mh!! Tabu tupu
  13. M

    TARURA huu ni uhuni na usaliti kwa kata ya Kitunda, Mzinga na maeneo jirani

    Yote kwa yote barabara inakera sana kutoka makaburini mpaka Kitunda ni mashimo matupu wameshindwa hata kupitisha tuu kijiko
Back
Top Bottom