Huyo no mwanamke bro, ananaibu zake Kama mwanamke, hawezi akaja geto akakuambia anataka asex na ww, jiongeze Kama mtu anakuja mpaka ndani, anafua, anakuagiza chupi, unasubiri nn kijana, tumia wepesi uliofundishwa jkt.
Sent using Jamii Forums mobile app