Rafiki yangu anataka kuoa bikra

Rafiki yangu anataka kuoa bikra

Hapo jamaa wakubaliane atest kwa kutumbukiza ikigomaa bhasi kweli Bikraa...!! Ikipenyaaa hamna kitu hapo.. Juzi kuna dogo limepitaa lote afu anajidai nimemchanaa...nyoooo fwalaa kabisaa
Ama kweli Jf kisima cha burudan
 
Nadhani waandikishane mkataba Tu. Bikra iwe ni Conditional precedent ya ndoa kuwepo. Pale ambapo itagundulika mke hakuwa na bikra, basi mkataba uwe voidable Kwa option ya Mwanaume, kuendelea au kutokuendelea na ndoa.
Nimeichukua nitaiwasilisha na kutoa mrejesho
 
Itifaki imezingatiwa,

Nisiwachoshe, niende moja kwa moja kwenye mada. Rafiki yangu wa karibu amekua mzito wa kuoa kwa madai kwamba alishajiwekea dhamira ya kuoa bikra, huu ni mwaka wa 5 bado anatafuta alianzia Mwanza, kaenda tanga na sasa yupo Zanzibar.

Mwaka jana alinitambulisha mchumba wake kwamba anashukuru ndoto zake zimetimia kwani amempata aliyekuwa anamtafuta kwa muda mrefu. Nikampa hongera na kumshauri ni bora atembee nae kama ni bikra bora aishuhudie mwenyewe asije uziwa mbuzi kwenye gunia ni binti mzuri kwa muonekano akiwa na umri wa miaka 27.

Cha ajabu binti hataki kabisa habari hizo anataka waje wafanye hio shughuli siku ya fungate. Jamaa naye ameanza kustuka na kuwa na waswasi na bint ilikua akalipe mahali wiki iliyopita naona kaghairi. Ushauri kwake tafadhari ninaamini nitapata mawazo mazuri ambayo yatamfanya jamaa angu asije kujutia maisha yake ya baadae.
Ameliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom